hatari kubwa hii

hatari kubwa hii

yaani huyo kitilya sura tu inaonekana hata kikombe cha babu kimedunda!! halafu na wewe saa nane usiku baada ya kutengeneza watoto na mywife wako unakazi ya kupokea simu...zima simu u concentrate na tendo la uumbaji bana..mbona mnatumia rasilimali vibaya nyie


Jamani Kigogo umenivunja mbavu mpaka basi...
 
yaani huyo kitilya sura tu inaonekana hata kikombe cha babu kimedunda!! Halafu na wewe saa nane usiku baada ya kutengeneza watoto na mywife wako unakazi ya kupokea simu...zima simu u concentrate na tendo la uumbaji bana..mbona mnatumia rasilimali vibaya nyie

tehe tee tehe eheeeeeee
 
Bora hao wanafanya saa nane za usiku. Kuna mgombea u Rais anapanda majukwaa ya siasa na kimada wake asubuhi na mchana kweupeeee! "Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya...
 
Bora hao wanafanya saa nane za usiku. Kuna mgombea u Rais anapanda majukwaa ya siasa na kimada wake asubuhi na mchana kweupeeee! "Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya...


simplex dictum..................................
 
Usha-chafua hali ya hewa, please funga miguu, naona harufu ya udi imeisha, pua zangu jamani...

Bora hao wanafanya saa nane za usiku. Kuna mgombea u Rais anapanda majukwaa ya siasa na kimada wake asubuhi na mchana kweupeeee! "Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya...
 
Bora hao wanafanya saa nane za usiku. Kuna mgombea u Rais anapanda majukwaa ya siasa na kimada wake asubuhi na mchana kweupeeee! "Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya...
u are right..thumbs up.
 
Back
Top Bottom