Tetesi: Hatari kubwa inakuja kwa wanasiasa wa upinzani...

Tetesi: Hatari kubwa inakuja kwa wanasiasa wa upinzani...

FrediusSnowden

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
269
Reaction score
225
Kutokana na mawazo yao, wale jamaa basi mkubwa akakutana kuangalia jinsi kazi ilivyokwenda kwa kipindi hiki cha wiki mbili kuisha. Hali kwa mujibu wao imekwenda vyema kwani mambo fulani ya msingi waliokusudia yamekwenda safi.

Hofu sasa inaonekana kuwa moja; kama kweli mioyo ya vijana inakusudia dhahiri, hilo liliondolewa shaka kwa hoja kwamba watanzania wengi ni waoga na pia wameweza kuwadhibiti vyema kisaikolojia kwa "intimidation" na mahubiri ya wimbo pendwa wa "amani".

Upande mmoja ukasema na kueleza juu ya kuhakikisha kuwatokomeza kabisa kwenye ramani, huku kukiwa na tumaini kubwa la kuwepo kwa jasusi mahiri ndani ya miliki ya upinzani. Wakasema kuwa ni jambo la muda kuweza kutumia kundi lao ndani ya chama kikuu cha upinzani; huku kwa upande chama cha pili cha upinzani profesa akazane. Asikate tamaa.

Kutokana na kuwepo kwa taarifa mbalimbali hofu kwao ni kuhusu pia bunge la bajeti, madudu ni mengi sasa kuhakikisha kwamba hawasemi mule. Weka ndani; inatumika kwao.

Unajua ku-dab wewe!
Basi mpango ni kuhakikisha kuwa wale makasisi kwa kiwango kikubwa hawasemi; wale waliotelekzwa kuwa silaha! Basi anaongoza kama vile yeye ni kofia ndogo ya pili kwa cheo. Kwa majaliwa yeye na wengine kusikiliza na kucheza dab!

Asante.
 
Ngoja nilale nikiamka nitarudia kusoma
 
Kutokana na mawazo yao, wale jamaa basi mkubwa akakutana kuangalia jinsi kazi ilivyokwenda kwa kipindi hiki cha wiki mbili kuisha. Hali kwa mujibu wao imekwenda vyema kwani mambo fulani ya msingi waliokusudia yamekwenda safi.

Hofu sasa inaonekana kuwa moja; kama kweli mioyo ya vijana inakusudia dhahiri, hilo liliondolewa shaka kwa hoja kwamba watanzania wengi ni waoga na pia wameweza kuwadhibiti vyema kisaikolojia kwa "intimidation" na mahubiri ya wimbo pendwa wa "amani".

Upande mmoja ukasema na kueleza juu ya kuhakikisha kuwatokomeza kabisa kwenye ramani, huku kukiwa na tumaini kubwa la kuwepo kwa jasusi mahiri ndani ya miliki ya upinzani. Wakasema kuwa ni jambo la muda kuweza kutumia kundi lao ndani ya chama kikuu cha upinzani; huku kwa upande chama cha pili cha upinzani profesa akazane. Asikate tamaa.

Kutokana na kuwepo kwa taarifa mbalimbali hofu kwao ni kuhusu pia bunge la bajeti, madudu ni mengi sasa kuhakikisha kwamba hawasemi mule. Weka ndani; inatumika kwao.

Unajua ku-dab wewe!
Basi mpango ni kuhakikisha kuwa wale makasisi kwa kiwango kikubwa hawasemi; wale waliotelekzwa kuwa silaha! Basi anaongoza kama vile yeye ni kofia ndogo ya pili kwa cheo. Kwa majaliwa yeye na wengine kusikiliza na kucheza dab!

Asante.
rubbish
 
Hiki kizazi kikizeeka itakuwa nchi ya wanywanywa sana
 
Kutokana na mawazo yao, wale jamaa basi mkubwa akakutana kuangalia jinsi kazi ilivyokwenda kwa kipindi hiki cha wiki mbili kuisha. Hali kwa mujibu wao imekwenda vyema kwani mambo fulani ya msingi waliokusudia yamekwenda safi.

Hofu sasa inaonekana kuwa moja; kama kweli mioyo ya vijana inakusudia dhahiri, hilo liliondolewa shaka kwa hoja kwamba watanzania wengi ni waoga na pia wameweza kuwadhibiti vyema kisaikolojia kwa "intimidation" na mahubiri ya wimbo pendwa wa "amani".

Upande mmoja ukasema na kueleza juu ya kuhakikisha kuwatokomeza kabisa kwenye ramani, huku kukiwa na tumaini kubwa la kuwepo kwa jasusi mahiri ndani ya miliki ya upinzani. Wakasema kuwa ni jambo la muda kuweza kutumia kundi lao ndani ya chama kikuu cha upinzani; huku kwa upande chama cha pili cha upinzani profesa akazane. Asikate tamaa.

Kutokana na kuwepo kwa taarifa mbalimbali hofu kwao ni kuhusu pia bunge la bajeti, madudu ni mengi sasa kuhakikisha kwamba hawasemi mule. Weka ndani; inatumika kwao.

Unajua ku-dab wewe!
Basi mpango ni kuhakikisha kuwa wale makasisi kwa kiwango kikubwa hawasemi; wale waliotelekzwa kuwa silaha! Basi anaongoza kama vile yeye ni kofia ndogo ya pili kwa cheo. Kwa majaliwa yeye na wengine kusikiliza na kucheza dab!

Asante.
Tumekuelewa!
 
Hata paka ukimbana kwenye kona anageuka chui na Hapo Ndo unajua hata wanyama wanahitaji space ili waendelee kuwa tiifu
 
Huu msemo wa kusema watanzania ni waoga ipo siku utaisha, kiwango cha uvumilivu kwa watanzania bado kiko juu
Mkuu watz wengi ni wajinga kupindukia hivyo wao kuwa waoga kutaendelea kwa muda mrefu!!!
 
Hakuna mtanzania muoga, jidanganyeni. Sisi hatuna haja ya kufuata upepo wa kikundi kidogo cha waharifu tuharibu nchi yetu
Naona umenipata vyema, hakuna mtanzania muoga watanzania ni wavumilivu, ila siku uvumilivu ukifikia kikomo ndio mtashangaa
 
Hawa walioko huku ambao wako tayari kutumika ni akina nani?
 
Back
Top Bottom