Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,218
Huu msemo wa kusema watanzania ni waoga ipo siku utaisha, kiwango cha uvumilivu kwa watanzania bado kiko juu[/QUOTE
]
yuko sahihi100%
kuthibitisha kuwa sisi sio waoga tuwe tumeshafanya maamuzi 26042018 iwe utekelezaji tu
itakua E L, kwani mara ya mwisho si ndiye alikua chairman wa kamati ya ulinzi na usalama wa nchi,e?Natamani sana kumjua huyo jasusi.
Wachache sana watakuelewa MkuuKutokana na mawazo yao, wale jamaa basi mkubwa akakutana kuangalia jinsi kazi ilivyokwenda kwa kipindi hiki cha wiki mbili kuisha. Hali kwa mujibu wao imekwenda vyema kwani mambo fulani ya msingi waliokusudia yamekwenda safi.
Hofu sasa inaonekana kuwa moja; kama kweli mioyo ya vijana inakusudia dhahiri, hilo liliondolewa shaka kwa hoja kwamba watanzania wengi ni waoga na pia wameweza kuwadhibiti vyema kisaikolojia kwa "intimidation" na mahubiri ya wimbo pendwa wa "amani".
Upande mmoja ukasema na kueleza juu ya kuhakikisha kuwatokomeza kabisa kwenye ramani, huku kukiwa na tumaini kubwa la kuwepo kwa jasusi mahiri ndani ya miliki ya upinzani. Wakasema kuwa ni jambo la muda kuweza kutumia kundi lao ndani ya chama kikuu cha upinzani; huku kwa upande chama cha pili cha upinzani profesa akazane. Asikate tamaa.
Kutokana na kuwepo kwa taarifa mbalimbali hofu kwao ni kuhusu pia bunge la bajeti, madudu ni mengi sasa kuhakikisha kwamba hawasemi mule. Weka ndani; inatumika kwao.
Unajua ku-dab wewe!
Basi mpango ni kuhakikisha kuwa wale makasisi kwa kiwango kikubwa hawasemi; wale waliotelekzwa kuwa silaha! Basi anaongoza kama vile yeye ni kofia ndogo ya pili kwa cheo. Kwa majaliwa yeye na wengine kusikiliza na kucheza dab!
Asante.
Mbona mahubiri yalikuwa kawaida tu. Jibuni tuhuma zenu maghaidi nyieWAANGALIE MAHUBILI YA IJUMAA KUU YA ROMAN CATHOLIC NCHI NZIMA ..NDO WATAJUA KAMA WATAWAUA MAASKOFU WA ROMANI CATHOLIC
Mtu asipofikiri kama nyinyi ni mjinga. Kundi la wahuni, wanaotaka kiki kwa kila jambo ambao hawaamini kujisimamia na kwao kushitaki serikali kwa wazunguMkuu watz wengi ni wajinga kupindukia hivyo wao kuwa waoga kutaendelea kwa muda mrefu!!!
Mbona povu jiiiiiiingi halafu mbona unajistukia? imekuchoma! ukweli unauma ehhhhhh wazungu hao hao Magufuli aliwaita "wanaume" si unakumbuka issue ya acacia, wazungu haohao Dotto James katibu mkuu wizara ya fedha kakutana nao kuwaomba wachangie bajeti ya nchi kwa mwaka ujao wa fedha, wazungu haohao wana miradi ya afya ambayo mingine ni kutahiri wanaume wa kitanzania!! wazungu haohao ikifika uchaguzi Tz inawaomba wasaidie kuipatia pesa za kufanikisha uchaguzi! aibu tupu hata uchaguzi Tz haiwezi kugharamia!!Mtu asipofikiri kama nyinyi ni mjinga. Kundi la wahuni, wanaotaka kiki kwa kila jambo ambao hawaamini kujisimamia na kwao kushitaki serikali kwa wazungu
wa kucheck in online kwenye ndege kumbe upo! Lema katokea wapi tena!! thread si size yako hii!Mjinga mwenyewe unayepelekeshwa na wakina Lema!!
Bashite utakatwa vipande vipande unasema watanzania waoga la hasha wanapenda amaniHakuna mtanzania muoga, jidanganyeni. Sisi hatuna haja ya kufuata upepo wa kikundi kidogo cha waharifu tuharibu nchi yetu
WAANGALIE MAHUBILI YA IJUMAA KUU YA ROMAN CATHOLIC NCHI NZIMA ..NDO WATAJUA KAMA WATAWAUA MAASKOFU WA ROMANI CATHOLIC
Kutokana na mawazo yao, wale jamaa basi mkubwa akakutana kuangalia jinsi kazi ilivyokwenda kwa kipindi hiki cha wiki mbili kuisha. Hali kwa mujibu wao imekwenda vyema kwani mambo fulani ya msingi waliokusudia yamekwenda safi.
Hofu sasa inaonekana kuwa moja; kama kweli mioyo ya vijana inakusudia dhahiri, hilo liliondolewa shaka kwa hoja kwamba watanzania wengi ni waoga na pia wameweza kuwadhibiti vyema kisaikolojia kwa "intimidation" na mahubiri ya wimbo pendwa wa "amani".
Upande mmoja ukasema na kueleza juu ya kuhakikisha kuwatokomeza kabisa kwenye ramani, huku kukiwa na tumaini kubwa la kuwepo kwa jasusi mahiri ndani ya miliki ya upinzani. Wakasema kuwa ni jambo la muda kuweza kutumia kundi lao ndani ya chama kikuu cha upinzani; huku kwa upande chama cha pili cha upinzani profesa akazane. Asikate tamaa.
Kutokana na kuwepo kwa taarifa mbalimbali hofu kwao ni kuhusu pia bunge la bajeti, madudu ni mengi sasa kuhakikisha kwamba hawasemi mule. Weka ndani; inatumika kwao.
Unajua ku-dab wewe!
Basi mpango ni kuhakikisha kuwa wale makasisi kwa kiwango kikubwa hawasemi; wale waliotelekzwa kuwa silaha! Basi anaongoza kama vile yeye ni kofia ndogo ya pili kwa cheo. Kwa majaliwa yeye na wengine kusikiliza na kucheza dab!
Asante.