Hatari kuu inakuja. Wanaume wanatoweka, Wavulana wanaibuka kwa kasi

Hatari kuu inakuja. Wanaume wanatoweka, Wavulana wanaibuka kwa kasi

Boeing 747

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2018
Posts
3,515
Reaction score
9,415
Umeshawahi kujiuliza ni kwa nini nyakati hizi watoto wengi wazuri wanaolewa au wana date na wazee au wastaafu..??????

Jibu ni rahisi....Wanaume ni wachache na wameshaoa...Wamebaki wavulana ambao hawawezi chochote.

1. Mvulana ananyoa kiduku, anavaa mlegezo, hataki kazi lakini anataka maisha mazuri...fala mkubwa

2. Mvulana hawezi kazi yoyote ngumu ya kutumia mikono...hata bulb pale nyumbani ikiungua hawezi kubadilisha....pumbaf sana

3.Kutwa kudhurura mtaani na begi mgongoni....sijui humo ndani ya hayo mabegi wanabebaga nini...ukisingiziwa ni supplier wa bangi utakataa...lofa mkubwa..

4. Basi ukikutana na hawa wavulana waliomaliza vyuo ndiyo kero kabisa...wao ni kudhurura kwa ndugu wenye pesa zao na kuwabana bana na familia zao....leo yupo Dar, kesho Arusha, kesho kutwa Mwanza....na wanachqgua miji ya kutembelea....hawataki kwenda Simiyu.

5.Wavulana hawawazi maisha....simu yake haishiwi bando la kuchati na warembo na kuposti picha mitandaoni wamechafua meza kwa chupa za pombe....wanawaza ngono na pombe....shubamiti

6.Ukimshauri atafute kibarua cha kufanya, anadai ana vyeti vyake...ipo siku atakuwa HR wa kampuni kubwa.....

7.Basi hawa wavulana wanasumbua sana kwa kuwapiga mizinga kaka au dada zao mpaka kero...kaka au dada yake anaishi chumba kimoja na mwenzi wake....mvukana mmoja mpumbavu anajibana hapo hapo.

Kwa hali hii kizazi cha miaka 3 ijayo kitatawaliwa na hawa wavulana....
Nawasikitikia dada zangu ambao hawajaolewa maana hawa ndiyo waume zao watarajiwa miaka 3 au 5 ijayo..

Wanaume wa kweli wameshaenda umri..wengi wao wako 30+ na wameshaoa..

Kundi kubwa limebaki la hawa wavulana ambao wako -29....
yaani ni shida....hakuna wanachokijua zaidi ya pombe, mademu na vumbi la Congo.

Kwa hali hii, warembo wakiolewa na wastaafu, tutawalaumu...?.Ni nani yupo tayari kuolewa na lijitu ambalo halikomai akili..? mvulana yupo radhi ashinde njaa lakini apate pesa ya kuweka bleach.
Wavulana badilikeni...mnaiangusha jinsia ya kiume.
images.jpeg
 
Umeshawahi kujiuliza ni kwa nini nyakati hizi watoto wengi wazuri wanaolewa au wana date na wazee au wastaafu..??????

Jibu ni rahisi....Wanaume ni wachache na wameshaoa...Wamebaki wavulana ambao hawawezi chochote.

1. Mvulana ananyoa kiduku, anavaa mlegezo, hataki kazi lakini anataka maisha mazuri...fala mkubwa

2. Mvulana hawezi kazi yoyote ngumu ya kutumia mikono...hata bulb pale nyumbani ikiungua hawezi kubadilisha....pumbaf sana

3.Kutwa kudhurura mtaani na begi mgongoni....sijui humo ndani ya hayo mabegi wanabebaga nini...ukisingiziwa ni supplier wa bangi utakataa...lofa mkubwa..

4. Basi ukikutana na hawa wavulana waliomaliza vyuo ndiyo kero kabisa...wao ni kudhurura kwa ndugu wenye pesa zao na kuwabana bana na familia zao....leo yupo Dar, kesho Arusha, kesho kutwa Mwanza....na wanachqgua miji ya kutembelea....hawataki kwenda Simiyu.

5.Wavulana hawawazi maisha....simu yake haishiwi bando la kuchati na warembo na kuposti picha mitandaoni wamechafua meza kwa chupa za pombe....wanawaza ngono na pombe....shubamiti

6.Ukimshauri atafute kibarua cha kufanya, anadai ana vyeti vyake...ipo siku atakuwa HR wa kampuni kubwa.....

7.Basi hawa wavulana wanasumbua sana kwa kuwapiga mizinga kaka au dada zao mpaka kero...kaka au dada yake anaishi chumba kimoja na mwenzi wake....mvukana mmoja mpumbavu anajibana hapo hapo.

Kwa hali hii kizazi cha miaka 3 ijayo kitatawaliwa na hawa wavulana....
Nawasikitikia dada zangu ambao hawajaolewa maana hawa ndiyo waume zao watarajiwa miaka 3 au 5 ijayo..

Wanaume wa kweli wameshaenda umri..wengi wao wako 30+ na wameshaoa..

Kundi kubwa limebaki la hawa wavulana ambao wako -29....
yaani ni shida....hakuna wanachokijua zaidi ya pombe, mademu na vumbi la Congo.

Kwa hali hii, warembo wakiolewa na wastaafu, tutawalaumu...?.Ni nani yupo tayari kuolewa na lijitu ambalo halikomai akili..? mvulana yupo radhi ashinde njaa lakini apate pesa ya kuweka bleach.
Wavulana badilikeni...mnaiangusha jinsia ya kiume.View attachment 1179156
Kwahiyo hayo maelezo yote yanamhusu huyo jamaa kwenye picha?
 
Hapo unazungumzia teenagers na dunia mzima wanasifa hizo ukitaka kuanza kuzungumizia wanaume Please at least anzia miaka 29+ na wala sio 29 kushuka chini..

Hata wanawake ukianza kuwazungumzia angalau basi 26+...


Nyie ndo mnatakaga mtoto akae kwenye kochi serious anangalia taarifa ya habari akicheza kidogo kofiiiiiii..Yaani mtu yupo kwenye balehe unamfananisha na wanaume watu wazima????
 
Back
Top Bottom