Hatari kuu inakuja. Wanaume wanatoweka, Wavulana wanaibuka kwa kasi

Hatari kuu inakuja. Wanaume wanatoweka, Wavulana wanaibuka kwa kasi

Wanashinda studio kubun mziki tu au kua vinyozi,ndio kazi wanazoziweza na wapo wengi?
 
Umeshawahi kujiuliza ni kwa nini nyakati hizi watoto wengi wazuri wanaolewa au wana date na wazee au wastaafu..??????

Jibu ni rahisi....Wanaume ni wachache na wameshaoa...Wamebaki wavulana ambao hawawezi chochote.

1. Mvulana ananyoa kiduku, anavaa mlegezo, hataki kazi lakini anataka maisha mazuri...fala mkubwa

2. Mvulana hawezi kazi yoyote ngumu ya kutumia mikono...hata bulb pale nyumbani ikiungua hawezi kubadilisha....pumbaf sana

3.Kutwa kudhurura mtaani na begi mgongoni....sijui humo ndani ya hayo mabegi wanabebaga nini...ukisingiziwa ni supplier wa bangi utakataa...lofa mkubwa..

4. Basi ukikutana na hawa wavulana waliomaliza vyuo ndiyo kero kabisa...wao ni kudhurura kwa ndugu wenye pesa zao na kuwabana bana na familia zao....leo yupo Dar, kesho Arusha, kesho kutwa Mwanza....na wanachqgua miji ya kutembelea....hawataki kwenda Simiyu.

5.Wavulana hawawazi maisha....simu yake haishiwi bando la kuchati na warembo na kuposti picha mitandaoni wamechafua meza kwa chupa za pombe....wanawaza ngono na pombe....shubamiti

6.Ukimshauri atafute kibarua cha kufanya, anadai ana vyeti vyake...ipo siku atakuwa HR wa kampuni kubwa.....

7.Basi hawa wavulana wanasumbua sana kwa kuwapiga mizinga kaka au dada zao mpaka kero...kaka au dada yake anaishi chumba kimoja na mwenzi wake....mvukana mmoja mpumbavu anajibana hapo hapo.

Kwa hali hii kizazi cha miaka 3 ijayo kitatawaliwa na hawa wavulana....
Nawasikitikia dada zangu ambao hawajaolewa maana hawa ndiyo waume zao watarajiwa miaka 3 au 5 ijayo..

Wanaume wa kweli wameshaenda umri..wengi wao wako 30+ na wameshaoa..

Kundi kubwa limebaki la hawa wavulana ambao wako -29....
yaani ni shida....hakuna wanachokijua zaidi ya pombe, mademu na vumbi la Congo.

Kwa hali hii, warembo wakiolewa na wastaafu, tutawalaumu...?.Ni nani yupo tayari kuolewa na lijitu ambalo halikomai akili..? mvulana yupo radhi ashinde njaa lakini apate pesa ya kuweka bleach.
Wavulana badilikeni...mnaiangusha jinsia ya kiume.View attachment 1179156
8. Wanapenda kula chipsi yai na soda (chipsi hawamalizi) ugali wakila wanaumwa.
9. Wakipanda kifuani goli moja,mbili wanaumwa tatu wanaanza kulalamika
10. Wanajua sehemu zote za bata kuliko sehemu za kupata hela
 
Hapo unazungumzia teenagers na dunia mzima wanasifa hizo ukitaka kuanza kuzungumizia wanaume Please at least anzia miaka 29+ na wala sio 29 kushuka chini..

Hata wanawake ukianza kuwazungumzia angalau basi 26+...


Nyie ndo mnatakaga mtoto akae kwenye kochi serious anangalia taarifa ya habari akicheza kidogo kofiiiiiii..Yaani mtu yupo kwenye balehe unamfananisha na wanaume watu wazima????
wewe utakuwa ni mmoja wa hawa niliowazungumzia hapa....
Hivi maisha ya leo yalivyo mafupi, mambo yalivyo mengi....unathubutu kusema 29 kurudi chini ni mtoto..? seriously...??

Ungeniambia miaka 20 kurudi chini ni mtoto ningekuelewa.....
Endelea kujifariji....amka usingizini
 
8. Wanapenda kula chipsi yai na soda (chipsi hawamalizi) ugali wakila wanaumwa.
9. Wakipanda kifuani goli moja,mbili wanaumwa tatu wanaanza kulalamika
10. Wanajua sehemu zote za bata kuliko sehemu za kupata hela
Ukweli mtupu...
 
Umeshawahi kujiuliza ni kwa nini nyakati hizi watoto wengi wazuri wanaolewa au wana date na wazee au wastaafu..??????

Jibu ni rahisi....Wanaume ni wachache na wameshaoa...Wamebaki wavulana ambao hawawezi chochote.

1. Mvulana ananyoa kiduku, anavaa mlegezo, hataki kazi lakini anataka maisha mazuri...fala mkubwa

2. Mvulana hawezi kazi yoyote ngumu ya kutumia mikono...hata bulb pale nyumbani ikiungua hawezi kubadilisha....pumbaf sana

3.Kutwa kudhurura mtaani na begi mgongoni....sijui humo ndani ya hayo mabegi wanabebaga nini...ukisingiziwa ni supplier wa bangi utakataa...lofa mkubwa..

4. Basi ukikutana na hawa wavulana waliomaliza vyuo ndiyo kero kabisa...wao ni kudhurura kwa ndugu wenye pesa zao na kuwabana bana na familia zao....leo yupo Dar, kesho Arusha, kesho kutwa Mwanza....na wanachqgua miji ya kutembelea....hawataki kwenda Simiyu.

5.Wavulana hawawazi maisha....simu yake haishiwi bando la kuchati na warembo na kuposti picha mitandaoni wamechafua meza kwa chupa za pombe....wanawaza ngono na pombe....shubamiti

6.Ukimshauri atafute kibarua cha kufanya, anadai ana vyeti vyake...ipo siku atakuwa HR wa kampuni kubwa.....

7.Basi hawa wavulana wanasumbua sana kwa kuwapiga mizinga kaka au dada zao mpaka kero...kaka au dada yake anaishi chumba kimoja na mwenzi wake....mvukana mmoja mpumbavu anajibana hapo hapo.

Kwa hali hii kizazi cha miaka 3 ijayo kitatawaliwa na hawa wavulana....
Nawasikitikia dada zangu ambao hawajaolewa maana hawa ndiyo waume zao watarajiwa miaka 3 au 5 ijayo..

Wanaume wa kweli wameshaenda umri..wengi wao wako 30+ na wameshaoa..

Kundi kubwa limebaki la hawa wavulana ambao wako -29....
yaani ni shida....hakuna wanachokijua zaidi ya pombe, mademu na vumbi la Congo.

Kwa hali hii, warembo wakiolewa na wastaafu, tutawalaumu...?.Ni nani yupo tayari kuolewa na lijitu ambalo halikomai akili..? mvulana yupo radhi ashinde njaa lakini apate pesa ya kuweka bleach.
Wavulana badilikeni...mnaiangusha jinsia ya kiume.View attachment 1179156
Thubutu!Kama watakusikia hawa wanyoa oooo,scruber,wakujipodoa,perfume zaidi ya dada zao,wala chips na mahindi kwa pilipili,mahedifoni sikioni SAA 24,wapiga milegezo,waongeaji kwa pua kama waamerika,wapiga bao moja la chips hoi taabani nk.

Inauzi sana kwa hawa vijana jina/vijana suruali.

Wazee tutawakanyagia videmu vyao mpaka waitike abeeeeee!!
 
Yes...tena big YES...
Si unakuta jitu kubwa over 25 na kigraduate limeshagraduate...linabanana kwa shemeji...kazi kujiselfie, kupaka poda.....

Kwa namna hii unategemea mtu kama huyu ataweza kuwa baba wa familia..?
hapana kwa hali hiyo haiwezekani..miaka 25 unatakiwa uwe kwako unafight kabisa
 
Thubutu!Kama watakusikia hawa wanyoa oooo,scruber,wakujipodoa,perfume zaidi ya dada zao,wala chips na mahindi kwa pilipili,mahedifoni sikioni SAA 24,wapiga milegezo,waongeaji kwa pua kama waamerika,wapiga bao moja la chips hoi taabani nk.

Inauzi sana kwa hawa vijana jina/vijana suruali.

Wazee tutawakanyagia videmu vyao mpaka waitike abeeeeee!!
Na kweli chips zimewaharibu....watoto wazuri mtaani wanalalamika hawakojozwi....
 
Ausha vijana ndio wapuuzi kabisa.Huku vijana vipuuzi vingi kweli, vinadandiwa/vinapumuliwa na vibabu/mijamaa vya/ya kizungu.Vijana wengine wanaoa viajuza vya kizungu >70 yrs old.

Wanajiita Wana-Arachuga,mazungumzo yao ya kuwini maisha ni kupumuliwa visogoni na wazungu au kuoa viajuza vya kizungu.

Shenzi kabisa hao vijana.
Yes..kama Arusha wavulana wanafirwa na vibabu vya kizungu vinavyokuja kutalii..
 
Umeshawahi kujiuliza ni kwa nini nyakati hizi watoto wengi wazuri wanaolewa au wana date na wazee au wastaafu..??????
Jibu ni rahisi....Wanaume ni wachache na wameshaoa...Wamebaki wavulana ambao hawawezi chochote.
1. Mvulana ananyoa kiduku, anavaa mlegezo, hataki kazi lakini anataka maisha mazuri...fala mkubwa
2. Mvulana hawezi kazi yoyote ngumu ya kutumia mikono...hata bulb pale nyumbani ikiungua hawezi kubadilisha....pumbaf sana
3.Kutwa kudhurura mtaani na begi mgongoni....sijui humo ndani ya hayo mabegi wanabebaga nini...ukisingiziwa ni supplier wa bangi utakataa...lofa mkubwa..
4. Basi ukikutana na hawa wavulana waliomaliza vyuo ndiyo kero kabisa...wao ni kudhurura kwa ndugu wenye pesa zao na kuwabana bana na familia zao....leo yupo Dar, kesho Arusha, kesho kutwa Mwanza....na wanachqgua miji ya kutembelea....hawataki kwenda Simiyu.
5.Wavulana hawawazi maisha....simu yake haishiwi bando la kuchati na warembo na kuposti picha mitandaoni wamechafua meza kwa chupa za pombe....wanawaza ngono na pombe....shubamiti
6.Ukimshauri atafute kibarua cha kufanya, anadai ana vyeti vyake...ipo siku atakuwa HR wa kampuni kubwa.....
7.Basi hawa wavulana wanasumbua sana kwa kuwapiga mizinga kaka au dada zao mpaka kero...kaka au dada yake anaishi chumba kimoja na mwenzi wake....mvukana mmoja mpumbavu anajibana hapo hapo.
Kwa hali hii kizazi cha miaka 3 ijayo kitatawaliwa na hawa wavulana....
Nawasikitikia dada zangu ambao hawajaolewa maana hawa ndiyo waume zao watarajiwa miaka 3 au 5 ijayo..
Wanaume wa kweli wameshaenda umri..wengi wao wako 30+ na wameshaoa..
Kundi kubwa limebaki la hawa wavulana ambao wako -29....
yaani ni shida....hakuna wanachokijua zaidi ya pombe, mademu na vumbi la Congo.
Kwa hali hii, warembo wakiolewa na wastaafu, tutawalaumu...?.Ni nani yupo tayari kuolewa na lijitu ambalo halikomai akili..? mvulana yupo radhi ashinde njaa lakini apate pesa ya kuweka bleach.
Wavulana badilikeni...mnaiangusha jinsia ya kiume.View attachment 1179156

Mi ndo maana sipendi kukaa na wazee,wazee wa siku hizi nuksi kinyama,mangu kishenzi wachawi kichizi yaani...!!!..huu ni wakati wetu vijana,tunakula gambe,bata,tuna swaggz,tunalewa,tukifika miaka 50 na sisi tutaokoka na tutaanza kuswali daily,mbona nyie enzi zenu za msondo ngoma,enzi za ujana wenu hatukuwaletea mboyoyo mingi???

Kila mtu apambane na hali yake..sisi tunapambana na ujana wetu,na nyie pambaneni na uzee wenu..
 
Back
Top Bottom