Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Mbona watu wanaongea tu lugha tusiyoijua, wamekalishwa chini, kisha kuamriwa kupanda station wagon ya mahindra na video ikaishia hapo!Kama una ndugu yako yupo Msumbiji mwambie aondoke haraka sana hali sio nzuri . Hao wote utakaowaona kwenye video walifariki kwa kupigwa risasi. Kama unampango wa kwenda Msumbiji basi jua hii ndio hali halisi.
View attachment 3189228
Video haioneshi ushahidi tarajiwa.Mbona watu wanaongea tu lugha tusiyoijua, wamekalishwa chini, kisha kuamriwa kupanda station wagon ya mahindra na video ikaishia hapo!
Wapi wamepigwa risasi na kuuawa?
Dah. Kumbe hata huko kuna hivyo? Makobaz nini hao?Kama una ndugu yako yupo Msumbiji mwambie aondoke haraka sana hali sio nzuri . Hao wote utakaowaona kwenye video walifariki kwa kupigwa risasi. Kama unampango wa kwenda Msumbiji basi jua hii ndio hali halisi.
View attachment 3189228
Dah. Kumbe hata huko kuna hivyo? Makobaz nini hao?
[
Mazabe ubanguni kimewaka wafungwa watoroka ila wengi wameuawa.Mbona watu wanaongea tu lugha tusiyoijua, wamekalishwa chini, kisha kuamriwa kupanda station wagon ya mahindra na video ikaishia hapo!
Wapi wamepigwa risasi na kuuawa?