joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Survey ranks Kenya 7th ‘most dangerous’ country to live in
A new survey done by InterNations, a global community and information site for people who live and work abroad and published by Forbes, has ranked Kenya the 7th ‘most dangerous’ country to live in,
Kenya ni nchi hatari sana kuishi, kufanya biashara, au hata kwenda kutalii kwa sasa hivi, ni bora salama zaidi kwenda Mogadishu au Bujumbura kuliko Nairobi.
Kwa wale ambao walikua bado hawana uhakika kuhusiana na hali ya usalama wa Kenya, ukweli ndio huu, mkiamua kuendelea kwenda, mfahamu wazi kwamba mnahatarisha maisha yenu.
HABARI NDIO HIYO.