Hatari! Ndani ya CCM Ukweli ni Sumu, Inakuangamiza Msemaji

Hatari! Ndani ya CCM Ukweli ni Sumu, Inakuangamiza Msemaji

MtuHabari

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
321
Reaction score
1,019
Kama mtu mzito kama Dr Anthony Diallo ambaye alikuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa, Mbunge na waziri mwandamizi mstaafu na mmiliki wa vyombo vya habari chini ya Sahara media ambavyo ni kama ilikuwa ni mali ya CCM anaweza sema ukweli na chama kikamla kichwa wewe mwingine ni nani upone baada ya kusema ukweli?

Hebu tuone huu ukweli aliousema na kwa nini haukuungwa mkono na chama chake hadi ikafikia kwenye uchaguzi wao wa ndani akaenguliwa kimizengwe!

 
Dialo kala teuzi ya mama Samia hivi karibuni,unaishi dunia ipi?

Lengo la uzi wako ni kuhakikisha multiple users zenu zinamtukana hayati Magufuli,over,komaeni kwa kuwa mnalipwa,tuone kama mtabadilisha kitu
 
Kumbe ndio maana walimpitisha kwenue tanuri kubwa la moto, yasirini na yasiyofaa kuwekwa wazi upenuni yeye aliyamwaga uwanjani peupe pe!
 
Kumbe ndio maana walimpitisha kwenue tanuri kubwa la moto, yasirini na yasiyofaa kuwekwa wazi upenuni yeye aliyamwaga uwanjani peupe pe!
Ndio, amesema ukweli uliokuwa haukupaswa kusemwa hadharani.
Ni kama ule wa Mirembe
 
Dialo kala teuzi ya mama Samia hivi karibuni,unaishi dunia ipi?

Lengo la uzi wako ni kuhakikisha multiple users zenu zinamtukana hayati Magufuli,over,komaeni kwa kuwa mnalipwa,tuone kama mtabadilisha kitu
Hivi kila teuzi ya Rais inahusiana na chama? Nadhani unachanganya mambo mawili tofauti
 
Huyo kampuni yake tu inamshinda, anataka amshauri nani?

Naona Alloyce Nyanda kawasaliti wenzake, ameamua kurudi startv na kufanya kazi wakati walikubaliana na akina Mapuri kwamba ni kugoma mwanzo mwisho mpaka kieleweke.

Alikuwa anatoa Siri za mgomo na kuwachomea wenzake kwa Kila wanachosema
 
Back
Top Bottom