HATARI: Ndege za KQ si salama kutumika, bomba zake zimefungwa gundi la karatasi

HATARI: Ndege za KQ si salama kutumika, bomba zake zimefungwa gundi la karatasi

Wakenya wengi wamehamaki baada ya kuona baadhi ya ndege za KQ zimetumia gundi kushikilizia mikanda na BOMBA(pipes) katika "Engines za ndege hizo chakavu.

Wakenya wamekua wakitoa maoni yao katika mitandao ya kijamii kuonyesha wasiwasi wao juu ya usalama wa shirika lao huku wengine wakiapa kutosafiri tena na KQ badala yake kuomba ATCL waanzishe " route"ya Nairobi ili waanze kutumia huduma bora toka katika ndege za kisasa kabisa za Airbus 200- 300.
Please fungua uzi nyingine, hapa ushachapwa ten nil [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wakenya wengi wamehamaki baada ya kuona baadhi ya ndege za KQ zimetumia gundi kushikilizia mikanda na BOMBA(pipes) katika "Engines za ndege hizo chakavu.

Wakenya wamekua wakitoa maoni yao katika mitandao ya kijamii kuonyesha wasiwasi wao juu ya usalama wa shirika lao huku wengine wakiapa kutosafiri tena na KQ badala yake kuomba ATCL waanzishe " route"ya Nairobi ili waanze kutumia huduma bora toka katika ndege za kisasa kabisa za Airbus 200- 300.
Kumbe
 
Back
Top Bottom