Dada take a chill pill. Ya huku mtandaoni tuyasome na tuyaache. As long as unajijua uko sawa basi keep on being good. Unaweza kuta mleta mada kakaa sebleni kwa kaka/shem wake huku anakunywa mo energy.
Ameongea kwa hisia kali mnooooDada take a chill pill. Ya huku mtandaoni tuyasome na tuyaache. As long as unajijua uko sawa basi keep on being good. Unaweza kuta mleta mada kakaa sebleni kwa kaka/shem wake huku anakunywa mo energy.
Aisee[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] dada wanaume wanaumiza sana yaan
🤣🤣🤣Baba unakiherehere wewe endelea na juhudi zako utakachovuna urudi kuomba ushauri tena.
KwakweliWanaume ni watu wabaya sana kipenzi,basi tu
Achana na huo mpango wa kuonana nae! Mtafufua matatizo mengi Sana katika familia zenu! Bado mnapendana ibaki tu hivyo msionane!Her family! hisia zetu n.k
Nimecheka sana aisee😂😂😂😂.. Hili pia linawezekanaDada take a chill pill. Ya huku mtandaoni tuyasome na tuyaache. As long as unajijua uko sawa basi keep on being good. Unaweza kuta mleta mada kakaa sebleni kwa kaka/shem wake huku anakunywa mo energy.
Haya mambo acha tuSi mchezo mdau
Wakuu, haya maisha yanafunzo.
Niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja tukapata mtoto mmoja, maisha yakatuchanganya, tukaachana, Kila mtu akaendelea na Maisha yake!
Mtoto aliniachia mawasiliano kumhusu yalibakia kati yake na Mama yangu na alivyofika darasa la 6 nikampeleka Boarding.
Nikaoa, sikujua habari zake tena.
Leo nikakutana na ka diary mahali, nikafungua kujua kinahusu nini, ni cha binti yangu! na nilipofungua macho yangu yalikutana moja kwa moja na namba ya Mama yake.
Sijaonana naye almost 12years now!
Nikapata msukumo kutoka ndani yangu kujaribu kumpigia, as ilikuwa mchana nikajua atakuwa katika mazingira ya kazi.
Nilivyopiga ile namba haikupokelewa, na baada ya dakika kama 10 ikanipigia.
Nilimsalimia tu akanitambua! Alizungumza na mimi kwa heshima sana na kwa sauti ya upole.
Nikatamani kujua status yake, ameshaolewa with two kids.
Yeye anajua kuhusu mimi via my daughter wanawasiliana.
Basi tukapongezana pale na kuagana.
Nimejisikia vizuri mno, nimeona hii ni platform yakushare ninavyojisikia
Natamani sana kumwona tena!
Muhusika anaweza kuona pia, natamani ajue
Sijui nafanyaje hapa wadau...
🙏🏽Tatizo ulitegemea ulivyomuacha angechakaa na kuteseka , lakini imekuwa tofauti sahivi unamtamani tena....
Acha ufala...
😞Ndoa 2 zipo matatani
Sijui kwa nini mnawazaga hivyo tu?Watu mna roho kubwa🤒🤒.. Maanake hapo unataka kutengeneza mazingira ya kupasha kiporo😥
Kunywa pepsi hapo kwa Mangi.Tatizo ulitegemea ulivyomuacha angechakaa na kuteseka , lakini imekuwa tofauti sahivi unamtamani tena....
Acha ufala...
I know but you are better than them all. Kataa kubeba vitu personally. Tuna wagonjwa wa akili wengi siku hizi so mitandao isiguse hata chembe ya moyo wako..utakonda dada.....😭😭😭😭😭😭 dada wanaume wanaumiza sana yaan