Hatari, nimeongea na Ex-Wangu, nimejisikia vizuri sana

Hatari, nimeongea na Ex-Wangu, nimejisikia vizuri sana

Pole bro , nahisi unacho kihisi maana nami iliwahi kujikuta hali kama yako, unaweza kuhukumiwa hapa na wadau lakini najua hauna dhamira mbaya dhidi yake , ila tu kuna hali fulani inakupata hamna namna unaweza kueleza ukaeleweka, tena wewe mlifika mbali hadi kuwa na mtoto, mimi sikua na mtoto naye ila nilipoongea nae mara ya kwanza baada ya kuachana kwa miaka kumi ilinitokea kama wewe.

Upendo wa kweli haufi aisee, kama kuna sababu ndogo ya kuachana usiachane na mpenzi wako.

Pia mwanaume ndie anaye penda na pendo huanzia moyoni, inapotokea pendo lile kuharibika moyo ama nafsi haikubali , hutengeneza kitu kisicho futika daima.


Yote ya yote bro Linda mahusiano yake na yako pia .
 
Wakuu, haya maisha yanafunzo.

Niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja tukapata mtoto mmoja, maisha yakatuchanganya, tukaachana, Kila mtu akaendelea na Maisha yake!

Mtoto aliniachia mawasiliano kumhusu yalibakia kati yake na Mama yangu na alivyofika darasa la 6 nikampeleka Boarding.

Nikaoa, sikujua habari zake tena.

Leo nikakutana na ka diary mahali, nikafungua kujua kinahusu nini, ni cha binti yangu! na nilipofungua macho yangu yalikutana moja kwa moja na namba ya Mama yake.

Sijaonana naye almost 12years now!
Nikapata msukumo kutoka ndani yangu kujaribu kumpigia, as ilikuwa mchana nikajua atakuwa katika mazingira ya kazi.

Nilivyopiga ile namba haikupokelewa, na baada ya dakika kama 10 ikanipigia.
Nilimsalimia tu akanitambua! Alizungumza na mimi kwa heshima sana na kwa sauti ya upole.

Nikatamani kujua status yake, ameshaolewa with two kids.
Yeye anajua kuhusu mimi via my daughter wanawasiliana.
Basi tukapongezana pale na kuagana.

Nimejisikia vizuri mno, nimeona hii ni platform yakushare ninavyojisikia

Natamani sana kumwona tena!

Muhusika anaweza kuona pia, natamani ajue

Sijui nafanyaje hapa wadau...


Ndoa 2 zipo matatani
 
Tatizo ulitegemea ulivyomuacha angechakaa na kuteseka , lakini imekuwa tofauti sahivi unamtamani tena....

Acha ufala...
Kunywa pepsi hapo kwa Mangi.
Watu wengi wakiachana wanatamani ex wao wapauke wadode. Ila siku akiona ex kaipata furaha yake na anafanya vizuri kwenye maisha anaanza kujirudisha ndio akamharibie tena.
 
Back
Top Bottom