Nimesoma comments humu comments zinazonishangaza eti kusema haina tatizo kukutana kisa mlipendana nyuma sijui nini.Wakuu, haya maisha yanafunzo.
Niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja tukapata mtoto mmoja, maisha yakatuchanganya, tukaachana, Kila mtu akaendelea na Maisha yake!
Mtoto aliniachia mawasiliano kumhusu yalibakia kati yake na Mama yangu na alivyofika darasa la 6 nikampeleka Boarding.
Nikaoa, sikujua habari zake tena.
Leo nikakutana na ka diary mahali, nikafungua kujua kinahusu nini, ni cha binti yangu! na nilipofungua macho yangu yalikutana moja kwa moja na namba ya Mama yake.
Sijaonana naye almost 12years now!
Nikapata msukumo kutoka ndani yangu kujaribu kumpigia, as ilikuwa mchana nikajua atakuwa katika mazingira ya kazi.
Nilivyopiga ile namba haikupokelewa, na baada ya dakika kama 10 ikanipigia.
Nilimsalimia tu akanitambua! Alizungumza na mimi kwa heshima sana na kwa sauti ya upole.
Nikatamani kujua status yake, ameshaolewa with two kids.
Yeye anajua kuhusu mimi via my daughter wanawasiliana.
Basi tukapongezana pale na kuagana.
Nimejisikia vizuri mno, nimeona hii ni platform yakushare ninavyojisikia
Natamani sana kumwona tena!
Muhusika anaweza kuona pia, natamani ajue
Sijui nafanyaje hapa wadau...
Kaka acha huo UPUMBAVU wa kusema urudishe mawasiliano na Ex wako.
Madhara yatakayokuja kutokea ni makubwa kiasi cha kuvurugia maisha WATOTO ZAKO WOTE WA SASA NA WA KWANZA NA WATOTO WA MWENZIO PIA.
Athari itayokuja kutokea itakua sio himilivu hata kidogo.
Acha kuwa mbinafsi kutaka kuridhisha HISIA ZAKO ukasahau mustakabali wa familia yako na familia ya mwenzako.
Hata kama mlipendana na bado kuna kahisia kapo ila kabatwilishe kwa ajili ya MUSTAKABALI wa familia zote mbili.
Maana sidhani kama mumewe ana uelewa huo atapokuja sikia mnarudisha mawasiliano ilhali mlikua wapenzi.
Acha hii kitu bro unatengeneza bomu moja kubwa sana litaokuja kutesa familia mbili kwa wakati mmoja.
ACHA UBINAFSI NARUDIA ACHA UBINAFSI TIZAMA WENZAKO USIENDEKEZE NYEGE ZAKO SHABBASH😡😡😡😡😡😡😡