Hatari, nimeongea na Ex-Wangu, nimejisikia vizuri sana

Hatari, nimeongea na Ex-Wangu, nimejisikia vizuri sana

Wakuu, haya maisha yanafunzo.

Niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja tukapata mtoto mmoja, maisha yakatuchanganya, tukaachana, Kila mtu akaendelea na Maisha yake!

Mtoto aliniachia mawasiliano kumhusu yalibakia kati yake na Mama yangu na alivyofika darasa la 6 nikampeleka Boarding.

Nikaoa, sikujua habari zake tena.

Leo nikakutana na ka diary mahali, nikafungua kujua kinahusu nini, ni cha binti yangu! na nilipofungua macho yangu yalikutana moja kwa moja na namba ya Mama yake.

Sijaonana naye almost 12years now!
Nikapata msukumo kutoka ndani yangu kujaribu kumpigia, as ilikuwa mchana nikajua atakuwa katika mazingira ya kazi.

Nilivyopiga ile namba haikupokelewa, na baada ya dakika kama 10 ikanipigia.
Nilimsalimia tu akanitambua! Alizungumza na mimi kwa heshima sana na kwa sauti ya upole.

Nikatamani kujua status yake, ameshaolewa with two kids.
Yeye anajua kuhusu mimi via my daughter wanawasiliana.
Basi tukapongezana pale na kuagana.

Nimejisikia vizuri mno, nimeona hii ni platform yakushare ninavyojisikia

Natamani sana kumwona tena!

Muhusika anaweza kuona pia, natamani ajue

Sijui nafanyaje hapa wadau...
Duu Ata Sijaelewa Unasifia Minyanduano Mipya na Ex , Don’t turn around Bro You will get Accident
 
Wakuu, haya maisha yanafunzo.

Niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja tukapata mtoto mmoja, maisha yakatuchanganya, tukaachana, Kila mtu akaendelea na Maisha yake!

Mtoto aliniachia mawasiliano kumhusu yalibakia kati yake na Mama yangu na alivyofika darasa la 6 nikampeleka Boarding.

Nikaoa, sikujua habari zake tena.

Leo nikakutana na ka diary mahali, nikafungua kujua kinahusu nini, ni cha binti yangu! na nilipofungua macho yangu yalikutana moja kwa moja na namba ya Mama yake.

Sijaonana naye almost 12years now!
Nikapata msukumo kutoka ndani yangu kujaribu kumpigia, as ilikuwa mchana nikajua atakuwa katika mazingira ya kazi.

Nilivyopiga ile namba haikupokelewa, na baada ya dakika kama 10 ikanipigia.
Nilimsalimia tu akanitambua! Alizungumza na mimi kwa heshima sana na kwa sauti ya upole.

Nikatamani kujua status yake, ameshaolewa with two kids.
Yeye anajua kuhusu mimi via my daughter wanawasiliana.
Basi tukapongezana pale na kuagana.

Nimejisikia vizuri mno, nimeona hii ni platform yakushare ninavyojisikia

Natamani sana kumwona tena!

Muhusika anaweza kuona pia, natamani ajue

Sijui nafanyaje hapa wadau...
ishia kujuliana hali usije kumuomba utamu
 
Umeoa na yeye kaolewa. Unataka uonane naye wa nini?

Na kwa nini huwa mnaendelea kuwasiliana na ma ex wenu? That's like playing on the devil's background.

Focus on your marriage, and she should do the same. Otherwise, both of you are looking for trouble!
Nimeongea nae mara moja within 12years .
 
Ushauri wangu, kukutana nae kujua maendeleo yenu ni rahisi from there.
Ila hasara yake.
Unaweza kushangaa mnarudiana, mtoto wenu akijua nyie mnafuraha. Lazma atatoa heshima kwa mama yake wa kambo,katu hatomuheshimu hata kama amemlea miaka kadhaa.
Mbili unaharibu ndoa ya mwenzako. Chunga sana hilo sio kiimani, kibinadamu tu, unamkosea mwamba aliyeoa haswa kama utalala naa huyo mama mtoto wako.
Sisi wanaume hao mabinti tuliozalisha tukawaacha either tunawapa maisha tu wasitie huruma maana ni wetu ila sio kuwalala. Kamwe.
 
Mahawala hawaachani. Nyinyi mlipumzishana kwa muda tu, ikitokea mmeonana hilo penzi la zamani kuna mmoja wenu lazima ataliamsha. Kinachofuata sasa ni ndoa zenu wote wawili mnaziweka rehani.

MWANAUME USIOE SINGLE MAZA labda uone kaburi au cheti cha kifo cha mzazi mwenza, tofauti na hapo jiandae kisaikolojia.
 
Back
Top Bottom