Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Ba parokwo ulale sasaNi kweli jaribu ujionee 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ba parokwo ulale sasaNi kweli jaribu ujionee 😂
silali mpaka niongeleshwe kwa heshima ma parokwoBa parokwo ulale sasa
Amesha sikia raha unahisi ni rahisi kuachaUnazidi kuwafanya wanawake wenye watoto nje ya ndoa kuwa katika hali ngumu ya kutoaminika...
Muache dada wa watu kasha move on ana maisha yake na ameolewa..huoni unataka kumvurugia?
Msaada wako mkubwa kwake ni kutowasilia na nae kabisa...
Ebwana eeh!! Sema usije ukamramba utaharibuIt happens Brother.
Huyu Dada alikuwa na utoto mwingi licha yakuwa na mtoto
Dar haya mambo acha tu mm nilizaa na mnyaturu wa Singida bahati nzuri kaolewa yupo hapa Mbeya,mm nilikuwa nafanya kazi Singida nikahamia Mbeya kabla ya yeye kuolewa ,Cha ajabu alivyoolewa huku akaanza kunitafuta nipo Mbeya sehemu Gani?Nilimjulisha sehemu nilipo ,nikaomba nimuone mtoto wangu alikubali akaniletea mtoto ,Sasa imekuwa kero ,Mme wake ni fundi ujenzi akiwa hayupo ananipigia simu mara Kwa mara ,mara mtoto anaumwa,n.k nikaona huyu ni kama ananiletea mitego nifanye naye mapenzi,mm nilimwambia mtego huo ,huwezi ni rubuni kirahisi hivyo nikamblock kwenye simu ,Huwa namtafuta nikitaka kutuma Hela za matumizi ya mtoto .Ujinga wa kukumbushiana mambo yaliyopita sitaki
Yes, aliniambia.Yeye anajua kuhusu mimi via my daughter wanawasiliana.
Unayasikiliza mahubiri ya shetani,huyo tayari ni mke wa mtu,utamuharibia ndoa yake au ya kwako itaharibika very soon...Wakuu, haya maisha yanafunzo.
Niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja tukapata mtoto mmoja, maisha yakatuchanganya, tukaachana, Kila mtu akaendelea na Maisha yake!
Mtoto aliniachia mawasiliano kumhusu yalibakia kati yake na Mama yangu na alivyofika darasa la 6 nikampeleka Boarding.
Nikaoa, sikujua habari zake tena.
Leo nikakutana na ka diary mahali, nikafungua kujua kinahusu nini, ni cha binti yangu! na nilipofungua macho yangu yalikutana moja kwa moja na namba ya Mama yake.
Sijaonana naye almost 12years now!
Nikapata msukumo kutoka ndani yangu kujaribu kumpigia, as ilikuwa mchana nikajua atakuwa katika mazingira ya kazi.
Nilivyopiga ile namba haikupokelewa, na baada ya dakika kama 10 ikanipigia.
Nilimsalimia tu akanitambua! Alizungumza na mimi kwa heshima sana na kwa sauti ya upole.
Nikatamani kujua status yake, ameshaolewa with two kids.
Yeye anajua kuhusu mimi via my daughter wanawasiliana.
Basi tukapongezana pale na kuagana.
Nimejisikia vizuri mno, nimeona hii ni platform yakushare ninavyojisikia
Natamani sana kumwona tena!
Muhusika anaweza kuona pia, natamani ajue
Sijui nafanyaje hapa wadau...
Ukijibiwa hapa nitag, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Double standard.........
Kwa hiyo ukioa singo mom, umeoa mke wa mtu; na ukiolewa na singo father; si ina maana umeolewa na mume wa mtu pia au singo father ni mume wako peke yako?
Majority mnampiga mawe huyo dada wa watu kwamba hakustahili kuolewa; je huyu mwanaume alistahili kumuoa mkewe aliyemuoa? Dada wa watu ameolewa zake huko; miaka yote hakuhangaika kumtafuta mzazi mwenzie; leo baby daddy ndiyo amemtafuta; surprisingly matusi yanaelekea kwa dada wa watu.
Wangapi humu mnamuonea huruma mke wa huyu baba; maana mumewe ndiyo ana kiranga cha kumtafuta mzazi mwenzie. Huyu baba akija akapasha kiporo na mzazi mwenzie; ni sawa kwa mke wa huyu baba ; ila sio sawa kwa mume wa baby momma? Wazazi wenza wakipasha viporo; matusi ni kwa mwanamke kwamba hafai kuolewa; je baby daddy anapasha kiporo na baby momma wake; yeye anadeserve kuoa? He huyu baby daddy si hasara kwa mkewe?. Je wanawake wakitaka kuolewa na single fathers hawatakiwi kuhakikisha wanaona makaburi ya baby mommas wao kwanza?
Unataka ukapashe kiporoWakuu, haya maisha yanafunzo.
Niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja tukapata mtoto mmoja, maisha yakatuchanganya, tukaachana, Kila mtu akaendelea na Maisha yake!
Mtoto aliniachia mawasiliano kumhusu yalibakia kati yake na Mama yangu na alivyofika darasa la 6 nikampeleka Boarding.
Nikaoa, sikujua habari zake tena.
Leo nikakutana na ka diary mahali, nikafungua kujua kinahusu nini, ni cha binti yangu! na nilipofungua macho yangu yalikutana moja kwa moja na namba ya Mama yake.
Sijaonana naye almost 12years now!
Nikapata msukumo kutoka ndani yangu kujaribu kumpigia, as ilikuwa mchana nikajua atakuwa katika mazingira ya kazi.
Nilivyopiga ile namba haikupokelewa, na baada ya dakika kama 10 ikanipigia.
Nilimsalimia tu akanitambua! Alizungumza na mimi kwa heshima sana na kwa sauti ya upole.
Nikatamani kujua status yake, ameshaolewa with two kids.
Yeye anajua kuhusu mimi via my daughter wanawasiliana.
Basi tukapongezana pale na kuagana.
Nimejisikia vizuri mno, nimeona hii ni platform yakushare ninavyojisikia
Natamani sana kumwona tena!
Muhusika anaweza kuona pia, natamani ajue
Sijui nafanyaje hapa wadau...
Umepotelea wapi mama majengeka; nilikuwa nakusubiri kwa hamu🤣🤣🤣🤣Ukijibiwa hapa nitag, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu nimekumic mnoo mama malezii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan kule selfika wameni ban nisicomment, wamejuajee kunikaushaa kizaziii? Mbona nilitakaa nika uzike ule uzi mazimaa.Umepotelea wapi mama majengeka; nilikuwa nakusubiri kwa hamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
You are missed big time.
Afu wamekuonea tu. Teh Uzi utafungwa kila siku ule; mambo elfu kumi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan kule selfika wameni ban nisicomment, wamejuajee kunikaushaa kizaziii? Mbona nilitakaa nika uzike ule uzi mazimaa.
Na ningewasanua waja mule, mbona afadhari ya TBC na matangazo yao Ya Tanzia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]