1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Anataka kukumbatia transfomaPepo la kusambaratisha ndoa limekufikia, achana na kuongea na maekisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka kukumbatia transfomaPepo la kusambaratisha ndoa limekufikia, achana na kuongea na maekisi
We subiri aje na uzi mwingine wa kwamba kamla kimasihara🤣Nimesoma comments humu comments zinazonishangaza eti kusema haina tatizo kukutana kisa mlipendana nyuma sijui nini.
Kaka acha huo UPUMBAVU wa kusema urudishe mawasiliano na Ex wako.
Madhara yatakayokuja kutokea ni makubwa kiasi cha kuvurugia maisha WATOTO ZAKO WOTE WA SASA NA WA KWANZA NA WATOTO WA MWENZIO PIA.
Athari itayokuja kutokea itakua sio himilivu hata kidogo.
Acha kuwa mbinafsi kutaka kuridhisha HISIA ZAKO ukasahau mustakabali wa familia yako na familia ya mwenzako.
Hata kama mlipendana na bado kuna kahisia kapo ila kabatwilishe kwa ajili ya MUSTAKABALI wa familia zote mbili.
Maana sidhani kama mumewe ana uelewa huo atapokuja sikia mnarudisha mawasiliano ilhali mlikua wapenzi.
Acha hii kitu bro unatengeneza bomu moja kubwa sana litaokuja kutesa familia mbili kwa wakati mmoja.
ACHA UBINAFSI NARUDIA ACHA UBINAFSI TIZAMA WENZAKO USIENDEKEZE NYEGE ZAKO SHABBASH😡😡😡😡😡😡😡
Karoho kanamuuma kuchapiwa mzaz mwenzakeNa hapo ni ego tu ndio inayomsumbua! Ile taarifa kwamba bi dada kaolewa na ana familia Kuna namna inamfanya ajihisi amezidiwa kete! Anataka kuprove urijali wake! Ataharibu familia ya bi dada, ataharibu familia yake, ataharibu future ya huyo mtoto!
Hiyo kumla kimasihara kuna heavy price to pay.We subiri aje na uzi mwingine wa kwamba kamla kimasihara🤣
😂 😂 😂 😂 😂 😂 na kamsisimko amepata...Amesha sikia raha unahisi ni rahisi kuacha
Carasco na wew siku hiz umekuwa wa manjano na kijaniNipe namba yake
prof hebu toa ushaur nikiungo gani cha mwili kita adhirika endapo tamaa ya mwili itaendesha ubongo😅Dah! pole sana mwamba
Daaah sasa wanaume wa wapi ?Wanaume ni watu wabaya sana kipenzi,basi tu
Ndio imesha kua hivyo singo mom is a no go zoneDouble standard.........
Kwa hiyo ukioa singo mom, umeoa mke wa mtu; na ukiolewa na singo father; si ina maana umeolewa na mume wa mtu pia au singo father ni mume wako peke yako?
Majority mnampiga mawe huyo dada wa watu kwamba hakustahili kuolewa; je huyu mwanaume alistahili kumuoa mkewe aliyemuoa? Dada wa watu ameolewa zake huko; miaka yote hakuhangaika kumtafuta mzazi mwenzie; leo baby daddy ndiyo amemtafuta; surprisingly matusi yanaelekea kwa dada wa watu.
Wangapi humu mnamuonea huruma mke wa huyu baba; maana mumewe ndiyo ana kiranga cha kumtafuta mzazi mwenzie. Huyu baba akija akapasha kiporo na mzazi mwenzie; ni sawa kwa mke wa huyu baba ; ila sio sawa kwa mume wa baby momma? Wazazi wenza wakipasha viporo; matusi ni kwa mwanamke kwamba hafai kuolewa; je baby daddy anapasha kiporo na baby momma wake; yeye anadeserve kuoa? He huyu baby daddy si hasara kwa mkewe?. Je wanawake wakitaka kuolewa na single fathers hawatakiwi kuhakikisha wanaona makaburi ya baby mommas wao kwanza?
Ndio wamesha kutana hata kama bibie alipoteza mawasiliano ndio nae kayapata kilicho baki tuwaombee mwisho mwema tu basi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na kamsisimko amepata...
Amewavaa masandawana. .Carasco na wew siku hiz umekuwa wa manjano na kijani
Ama kwel hawa Yanga miaka hii wameamua, watatumaliza[emoji24][emoji24]
Ngoja niende huko long tym sijaenda kunani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan kule selfika wameni ban nisicomment, wamejuajee kunikaushaa kizaziii? Mbona nilitakaa nika uzike ule uzi mazimaa.
Na ningewasanua waja mule, mbona afadhari ya TBC na matangazo yao Ya Tanzia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vijana mliojaaliwa kuifahamu Jamiiforums na mkawa na access ya kuingia humu kusoma kila kinachoandikwa pamoja na mijadala mipana sometimes inayoendelea humu kuhusu onyo au suala la kuoa single mama,kwenye quote hiyo hapo juu................Basi tukapongezana pale na kuagana.
Nimejisikia vizuri mno, nimeona hii ni platform yakushare ninavyojisikia
Natamani sana kumwona tena!
Muhusika anaweza kuona pia, natamani ajue
Sijui nafanyaje hapa wadau...
Tofauti na wengi wanavyodhani, kiuhalisia ubongo ukiathirika kinachofuata ni moyo, Ubongo utaudai moyo kupiga damu zaidi ambapo hapo utakuwa unautanuaprof hebu toa ushaur nikiungo gani cha mwili kita adhirika endapo tamaa ya mwili itaendesha ubongo😅
🤣🤣🤣🥴Daaah sasa wanaume wa wapi ?
Even kwa single father; is a no go zoneNdio imesha kua hivyo singo mom is a no go zone
Yes ni hivyo ila sidhani kama mna huo uwezo wa kutukataa vile mpo cheapest.Even kwa single father; is a no go zone