Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
So selifishMpenzi,Kati ya viumbe visivyojua vyataka nini ni men
Na hapo ni ego tu ndio inayomsumbua! Ile taarifa kwamba bi dada kaolewa na ana familia Kuna namna inamfanya ajihisi amezidiwa kete! Anataka kuprove urijali wake! Ataharibu familia ya bi dada, ataharibu familia yake, ataharibu future ya huyo mtoto!Plus kwa upole
***** ndo maana sishaurigi mtu aoe mwanamke lillilozalishwa, Hilo ni Dem la mtu, wakikutana na ex wake wanakumbushia hata kama wameolewa au kuoaWakuu, haya maisha yanafunzo.
Niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja tukapata mtoto mmoja, maisha yakatuchanganya, tukaachana, Kila mtu akaendelea na Maisha yake!
Mtoto aliniachia mawasiliano kumhusu yalibakia kati yake na Mama yangu na alivyofika darasa la 6 nikampeleka Boarding.
Nikaoa, sikujua habari zake tena.
Leo nikakutana na ka diary mahali, nikafungua kujua kinahusu nini, ni cha binti yangu! na nilipofungua macho yangu yalikutana moja kwa moja na namba ya Mama yake.
Sijaonana naye almost 12years now!
Nikapata msukumo kutoka ndani yangu kujaribu kumpigia, as ilikuwa mchana nikajua atakuwa katika mazingira ya kazi.
Nilivyopiga ile namba haikupokelewa, na baada ya dakika kama 10 ikanipigia.
Nilimsalimia tu akanitambua! Alizungumza na mimi kwa heshima sana na kwa sauti ya upole.
Nikatamani kujua status yake, ameshaolewa with two kids.
Yeye anajua kuhusu mimi via my daughter wanawasiliana.
Basi tukapongezana pale na kuagana.
Nimejisikia vizuri mno, nimeona hii ni platform yakushare ninavyojisikia
Natamani sana kumwona tena!
Muhusika anaweza kuona pia, natamani ajue
Sijui nafanyaje hapa wadau...
Duuh🤔Wengne wanaombea hata sku1 wake zao wachepuke ili wapate sabab ya kuwaacha..ila wake hawachepuki[emoji16]
Dah kaz kwelkwel
😂😂😂🤒Akii we jamaa wewe😂😂😂😂
eti kumla Ex kimasihara
Msifanye hivyo Ghana, sio tabia nzuriHapa ndio ule msemo unajidhihirisha. Single maza hawafaiii 😂😂😂
Napitaga kimyakimya lakini😂😂🤒Na Wewe ni member kule kwa Rick boy ? 😅😅😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dada take a chill pill. Ya huku mtandaoni tuyasome na tuyaache. As long as unajijua uko sawa basi keep on being good. Unaweza kuta mleta mada kakaa sebleni kwa kaka/shem wake huku anakunywa mo energy.
Mara ya mwisho kupita kule 2019, Kuna siku nilimtembelea uncle wangu tena ni Mchungaji nikapiga Chabo kwenye simu yake nikaona yupo kwenye Kimasihara. Alikuwa anabadilisha pozi za kukaa aisee na vicheko vilikuwa vingi kama anaangalia comedy 😂😂😂😂Napitaga kimyakimya lakini😂😂🤒
Kemea pepo la kuzini, shetani anakutafuta usikubali mwayaWakuu, haya maisha yanafunzo.
Niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja tukapata mtoto mmoja, maisha yakatuchanganya, tukaachana, Kila mtu akaendelea na Maisha yake!
Mtoto aliniachia mawasiliano kumhusu yalibakia kati yake na Mama yangu na alivyofika darasa la 6 nikampeleka Boarding.
Nikaoa, sikujua habari zake tena.
Leo nikakutana na ka diary mahali, nikafungua kujua kinahusu nini, ni cha binti yangu! na nilipofungua macho yangu yalikutana moja kwa moja na namba ya Mama yake.
Sijaonana naye almost 12years now!
Nikapata msukumo kutoka ndani yangu kujaribu kumpigia, as ilikuwa mchana nikajua atakuwa katika mazingira ya kazi.
Nilivyopiga ile namba haikupokelewa, na baada ya dakika kama 10 ikanipigia.
Nilimsalimia tu akanitambua! Alizungumza na mimi kwa heshima sana na kwa sauti ya upole.
Nikatamani kujua status yake, ameshaolewa with two kids.
Yeye anajua kuhusu mimi via my daughter wanawasiliana.
Basi tukapongezana pale na kuagana.
Nimejisikia vizuri mno, nimeona hii ni platform yakushare ninavyojisikia
Natamani sana kumwona tena!
Muhusika anaweza kuona pia, natamani ajue
Sijui nafanyaje hapa wadau...
uwakutanishe bila shaka... huu ndio uungwana mkuuNipe namba yake
Unataka kumlomba again?Wakuu, haya maisha yanafunzo.
Niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja tukapata mtoto mmoja, maisha yakatuchanganya, tukaachana, Kila mtu akaendelea na Maisha yake!
Mtoto aliniachia mawasiliano kumhusu yalibakia kati yake na Mama yangu na alivyofika darasa la 6 nikampeleka Boarding.
Nikaoa, sikujua habari zake tena.
Leo nikakutana na ka diary mahali, nikafungua kujua kinahusu nini, ni cha binti yangu! na nilipofungua macho yangu yalikutana moja kwa moja na namba ya Mama yake.
Sijaonana naye almost 12years now!
Nikapata msukumo kutoka ndani yangu kujaribu kumpigia, as ilikuwa mchana nikajua atakuwa katika mazingira ya kazi.
Nilivyopiga ile namba haikupokelewa, na baada ya dakika kama 10 ikanipigia.
Nilimsalimia tu akanitambua! Alizungumza na mimi kwa heshima sana na kwa sauti ya upole.
Nikatamani kujua status yake, ameshaolewa with two kids.
Yeye anajua kuhusu mimi via my daughter wanawasiliana.
Basi tukapongezana pale na kuagana.
Nimejisikia vizuri mno, nimeona hii ni platform yakushare ninavyojisikia
Natamani sana kumwona tena!
Muhusika anaweza kuona pia, natamani ajue
Sijui nafanyaje hapa wadau...
hii mbaya hii me nlishapasha kiporo hiv hiv kujifanya mnakumbushiana mambo ya zamani.Her family! hisia zetu n.k
[emoji3064][emoji3064]Nimesoma comments humu comments zinazonishangaza eti kusema haina tatizo kukutana kisa mlipendana nyuma sijui nini.
Kaka acha huo UPUMBAVU wa kusema urudishe mawasiliano na Ex wako.
Madhara yatakayokuja kutokea ni makubwa kiasi cha kuvurugia maisha WATOTO ZAKO WOTE WA SASA NA WA KWANZA NA WATOTO WA MWENZIO PIA.
Athari itayokuja kutokea itakua sio himilivu hata kidogo.
Acha kuwa mbinafsi kutaka kuridhisha HISIA ZAKO ukasahau mustakabali wa familia yako na familia ya mwenzako.
Hata kama mlipendana na bado kuna kahisia kapo ila kabatwilishe kwa ajili ya MUSTAKABALI wa familia zote mbili.
Maana sidhani kama mumewe ana uelewa huo atapokuja sikia mnarudisha mawasiliano ilhali mlikua wapenzi.
Acha hii kitu bro unatengeneza bomu moja kubwa sana litaokuja kutesa familia mbili kwa wakati mmoja.
ACHA UBINAFSI NARUDIA ACHA UBINAFSI TIZAMA WENZAKO USIENDEKEZE NYEGE ZAKO SHABBASH[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Kemea pepo.Wakuu, haya maisha yanafunzo.
Niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja tukapata mtoto mmoja, maisha yakatuchanganya, tukaachana, Kila mtu akaendelea na Maisha yake!
Mtoto aliniachia mawasiliano kumhusu yalibakia kati yake na Mama yangu na alivyofika darasa la 6 nikampeleka Boarding.
Nikaoa, sikujua habari zake tena.
Leo nikakutana na ka diary mahali, nikafungua kujua kinahusu nini, ni cha binti yangu! na nilipofungua macho yangu yalikutana moja kwa moja na namba ya Mama yake.
Sijaonana naye almost 12years now!
Nikapata msukumo kutoka ndani yangu kujaribu kumpigia, as ilikuwa mchana nikajua atakuwa katika mazingira ya kazi.
Nilivyopiga ile namba haikupokelewa, na baada ya dakika kama 10 ikanipigia.
Nilimsalimia tu akanitambua! Alizungumza na mimi kwa heshima sana na kwa sauti ya upole.
Nikatamani kujua status yake, ameshaolewa with two kids.
Yeye anajua kuhusu mimi via my daughter wanawasiliana.
Basi tukapongezana pale na kuagana.
Nimejisikia vizuri mno, nimeona hii ni platform yakushare ninavyojisikia
Natamani sana kumwona tena!
Muhusika anaweza kuona pia, natamani ajue
Sijui nafanyaje hapa wadau...