weka mifuko ya mbele, au unaogopa itaonekana?
haina tatizoNafata nyayo za MziziMkavu
Thanks....hela tuwe tunaweka wapi sasa? Kwenye soksi kama wote wauza nyanya na vitunguu toka mikoani?
mwalimu wako alipata sana taabu! ingekuwa test ya kupima wenye matatizo ya akili
tungerikomendi utangulizwe mirembe! unashauriwa usikalie WALLET na siyo kutokuitumia
kuweka hela zako!
Aliposema hela atakuwa amekusudia ni wallet bana...
Mkuu Boflo Hongera kwa kuwaelimisha watu nitakupa mikoba yangu bravo............Nafata nyayo za MziziMkavu
kwani walet lazima iwekwe mfuko wa nyuma!Thanks....hela tuwe tunaweka wapi sasa? Kwenye soksi kama wote wauza nyanya na vitunguu toka mikoani?
Hahaahha...Mimi sio Doctor tu nina fani nyingi sana, mtunzi wa mashairi, mwimbaji, mwana falsafa.....