Hatari sana: Don't Sit On Your Wallet

Hatari sana: Don't Sit On Your Wallet

Kiingereza ni ishu nahisi hapa pana elimu flani nzuri lakini sijaelewa.
 
somo zuri Boflo, nahisi pia hata siye wapanda daladala tupo hatarini. Hivi ushaona jinsi raia wanavyojipinda ndani ya daladala, kama submission manouver ya Chris Jericho wa WWE...
 
Last edited by a moderator:
Bora ya mimi naweka kwenye soksi, au kuna madhara kwenye ugoko? lete elimu...
 
mwalimu wako alipata sana taabu! ingekuwa test ya kupima wenye matatizo ya akili
tungerikomendi utangulizwe mirembe! unashauriwa usikalie WALLET na siyo kutokuitumia
kuweka hela zako!
So simple like that you come to conclusion on serious issue...guess what! Simple mind, with simple answers to difficult questions...ndio Tanzania. Wewe ndio Boflo? Hivi watu hawawezi kutania kwasababu nyie wengine mna akili sana kuliko walimu wenu...kazi ipo!
 
halafu kama ile suruali ya Barnaba inavyombanaga na ile wallet yaani anakuwa bichcoma.
 
Probably you have a "Second Hand Brain"!lol!

So simple like that you come to conclusion on serious issue...guess what! Simple mind, with simple answers to difficult questions...ndio Tanzania. Wewe ndio Boflo? Hivi watu hawawezi kutania kwasababu nyie wengine mna akili sana kuliko walimu wenu...kazi ipo!
 
Umeona ee? Watu wengi sana wanapenda kukalia Wallet na mm pia, lakini baada ya kuona hii habari

sitakalia tena, nitakuwa nampa snowhite au Preta anishikie wallet yangu

mmhh utakuta kumebaki nyembe na enga chiff tu, wekundu wotee wameweka kwenye vipima joto vyao kwa usalama zaidi
Boflo vipi kwa wadada wanaoweka pochi kwapani mpaka linakaa upande hawapati madhara kama hayo au ni kwa upande wa makalio tu??
 
Umeona ee? Watu wengi sana wanapenda kukalia Wallet na mm pia, lakini baada ya kuona hii habari

sitakalia tena, nitakuwa nampa snowhite au Preta anishikie wallet yangu
mimi nilifikiri wewe ni daktari, kumbe habari yenyewe umeichota mahali. Mbona reference hujaweka?
 
Mwisho wa mwezi lazima jipu lionekane upande wa kulia bana..:caked:
 
Thanks. let me take a point right from here
 
Back
Top Bottom