Hatari sana: Manara kesho kupanda kama msanii ataongea kiaina

Hatari sana: Manara kesho kupanda kama msanii ataongea kiaina

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Agh, I never saw this coming. THE GREATEST HAJJ MANARA kawapiga watu chenga ya mwaka na atakayejaribu kumgusa itakuwa mwisho wake kushikilia cheo hapo TFF.........KIVIPI

Intelejensia ya NJAAKALIHATARI imegundua kwamba kesho atapanda kama msanii wa mziki yaani back vocalist wa msaniii maarufu na yeye atakuwa akichombeza maneno kama mrisho mpoto

Kwa mfano msanii mbongo fleva anaimba..katokea Ghanaaaa yeeeeeee, the greatest Hajj Manara anachombeza kwa kuongea kama mpoto...NI MTOTO WA MAMA EFUE ZEE LA KUWAKERA WAMESHINDWA KUMLIPA NA KUMLISHA VIZURI KACHOKA KUNYANYASWA KARUDI NYUMBANI

kama hivyo yaani dah what a great idea ila sasa wananchi mnaniangusha , yaani msimu mpya unaanza bado mnatumia lilelile neno MAKOLO? Kolo kwa kiswahili fasaha cha bakita ni MJOMBA kama mlimnaanisha jezi zina makolomakolo nafikiri jezi zenye makolokolo zinajulikana ni zipi

Majina yote makali hutokea kwenu, gongowazi, utopolo, makolo...fanyeni fanyeni basi hata kesho muachie jina jipya maana the greatest Manara kajaribu manyonyo fc na mandonga fc zimebuma
 
Ila jina lao la Kinye fc limekaa kitaalamu sana. Karia alipatia
wao ndiyo wataalamu wa kutoa majina ndiyo maana nashangaa wanaendelea na makolo wakati jezi yao ndiyo yenye makolomakolo , wamtafute hata mzee wa utopolo atunge jina jipya fasta tuwasaidie kulisambaza
 
sikufatilia , keshaonekana mental case hata yanga wengi wanaona bora taji liundi akae pale na taji hawezi kubali kufanya kazi na huyo mtu hata kidogo
Huyo taji liundi si kaja kuchukua nafasi ya bumbuli?
 
yeah sope si alikuwa anatarajia achukue hiyo nafasi hata kama akisamehewa arudishwe usemaji hawezani na taji , taji mtu smart sana ila ana hasira kwenye mambo ya kipumbavu kama ya sope
Huyo taji liundi si kaja kuchukua nafasi ya bumbuli?
 
Back
Top Bottom