Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Tuombe uhai tu, utakuja kuamini maneno yangu ๐๐๐Sisi wataalamu hii kitu tunaita Time Travel, tukutane 2015. [emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombe uhai tu, utakuja kuamini maneno yangu ๐๐๐Sisi wataalamu hii kitu tunaita Time Travel, tukutane 2015. [emoji3][emoji3][emoji3]
Tuombe uhai tu, utakuja kuamini maneno yangu [emoji3][emoji3][emoji3]
mkuu labda CLOUDS wasipige ngoma zake
Ni davido gani atakubali kufanya remix ya wimbo mbovu kama huo, labda davido wa buza. Domo's managers are total failure.Sijui anabisha nini, anashindwa kuelewa ukipandishwa na ntu utashushwa na ntu.. nasikia wako kwenye project ya kuifanyia hii ngoma remix na Davido.
Ni ajabu mtu kujiita star huku ukitarajia mgongo wa star mwingine ukuinue..
Ni davido gani atakubali kufanya remix ya wimbo mbovu kama huo, labda davido wa buza. Domo's managers are total failure.
Hiyo picha ya kuEdit, nawanavyozidi kufanya hivi wanamuua domo kimuziki........ Davido! My foot..![]()
mkuu nimekuta hii picha instagram au imeeditiwa?
mkuu tuombe uhaiHiyo picha ya kuEdit, nawanavyozidi kufanya hivi wanamuua domo kimuziki........ Davido! My foot..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hio ni photoshop na aliyefanya hii photoshop naona anajifunza. Hebu angalia kwenye miwani ya domo, kuna mwanga wa taa umeakisiwa ikiwa na maana kuna taa mbele lakini ona kwenye miwani ya davido hiyo kitu hamna.![]()
mkuu nimekuta hii picha instagram au imeeditiwa?
dah mungu atupe uhai kila kitu kitajulikanaMkuu hio ni photoshop na aliyefanya hii photoshop naona anajifunza. Hebu angalia kwenye miwani ya domo, kuna mwanga wa taa umeakisiwa ikiwa na maana kuna taa mbele lakini ona kwenye miwani ya davido hiyo kitu hamna.
Siku diamond akifanya wimbo na davido nitauza simu yangu na sitoingia jf tena. Mashabiki wa domo waache kumpa sifa zisizostahili.
๐๐๐๐ what you see is limitation of your viewNi davido gani atakubali kufanya remix ya wimbo mbovu kama huo, labda davido wa buza. Domo's managers are total failure.
Nimetoka kuitazama bonge Moja ya video, akijitahidi atafika mbali asee nipo hapa watu Facebook wanasema eti anataka kufanya kazi na davido, yule jamaa Nigeria wako mbali sana atampata kweli ngoja tuone
Leo tuko 2024Tuombe uhai tu, utakuja kuamini maneno yangu ๐๐๐
Diamond hajawahi kufanya colabo na davidoMkuu hio ni photoshop na aliyefanya hii photoshop naona anajifunza. Hebu angalia kwenye miwani ya domo, kuna mwanga wa taa umeakisiwa ikiwa na maana kuna taa mbele lakini ona kwenye miwani ya davido hiyo kitu hamna.
Siku diamond akifanya wimbo na davido nitauza simu yangu na sitoingia jf tena. Mashabiki wa domo waache kumpa sifa zisizostahili.