Miaka kama 10 iliopita nilikuwa kituo cha bus na headphone zangu akaja babu wa kizungu akaanza kunipigisha Stori. Mwisho akasema ' ningekuwa kijana ningewekeza kwenye hearing aid devices kwasababu miaka 20 ijayo kutakuwa na hitaji kubwa sana la hearing aid devices'"More than 1 billion young people globally risk developing hearing loss through exposure to loud music through personal audio devices.”
Zaidi ya vijana Bilioni Moja duniani wako ktk hatari ya kupoteza uwezo wao wa kusikia kutokana na kuruhusu sauti kubwa sana za muziki zipite masikioni mwao kutoka kwenye earphones. JARIDA LA AFYA LANCERT LINASEMA.
https://www.thelancet.com/journals/lancet/article/PIIS0140-6736(19)30403-9/fulltext
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulilifanyia kazi hilo wazo ?Miaka kama 10 iliopita nilikuwa kituo cha bus na headphone zangu akaja babu wa kizungu akaanza kunipigisha Stori. Mwisho akasema ' ningekuwa kijana ningewekeza kwenye hearing aid devices kwasababu miaka 20 ijayo kutakuwa na hitaji kubwa sana la hearing aid devices'
Ahsanteeee[emoji23][emoji23][emoji52] siachi yenyewe hapa nasikiliza Kitu cha Inception by A.walker sauti hadi mwishooooooooooooooooo acha yafe tuu maana yashaota hadi sugu wallahi ,nimeenda sana hospitali wamesema niyaache hivyo hivyo na niendelee kula fleva
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliona fursa huyu!Miaka kama 10 iliopita nilikuwa kituo cha bus na headphone zangu akaja babu wa kizungu akaanza kunipigisha Stori. Mwisho akasema ' ningekuwa kijana ningewekeza kwenye hearing aid devices kwasababu miaka 20 ijayo kutakuwa na hitaji kubwa sana la hearing aid devices'
Zile ni studio monitor infact ni sawa na monitor za musicians wanpokuwa jukwaani wakiperform namna zilivyoundwa audibility yake haidhuru sana masikio...sasa hivi vi earphone vya mchina vya elfu 3 3 ukiweka sikioni utadhani nyuki wanaingia sikioni kumbe ndio sauti nadhani hapo tatizo linakuwa kubwa zaidi!Vipi kwa taaluma hii(Utangazaji wa redio )lazima uvae headphones dingilae,apo sijui unasemaje?au tuache kazi?
endelea tu kula raha[emoji23][emoji23][emoji52] siachi yenyewe hapa nasikiliza Kitu cha Inception by A.walker sauti hadi mwishooooooooooooooooo acha yafe tuu maana yashaota hadi sugu wallahi ,nimeenda sana hospitali wamesema niyaache hivyo hivyo na niendelee kula fleva
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh hata sikuwa najua naanzia wapi. Kwa mambo yaliyokuwa kichwani kwangu nilikuwa naona ananipigia kelele tuUlilifanyia kazi hilo wazo ?
By the way, habari ya kupotea jukwaani
Basi fursa ndio hio kaka. Ni suala la kijipanga na kuona unaanzia wapi.Duh hata sikuwa najua naanzia wapi. Kwa mambo yaliyokuwa kichwani kwangu nilikuwa naona ananipigia kelele tu