Kwenye swala la MACHINGA serikali inahitaji umakini mkubwa kuwatoa Hawa watu kwakuwa wamekuwa wakubwa Kama mbuyu.
Kama mnakumbuka miaka ya 2000-2015 walikuwa wanafurushwa Sana na migambo. Kuanzia mwaka 2016 mpaka sasa wamejitawala kila mahali.
Ukifika hapa Arusha Ni kero kubwa Sana. Nafikiri huu usumbufu unaweza kupunguza hata watalii.
Nashauri yafuatayo
1. Mpango wa miaka 15 uundwe ili kupunguza MACHINGA mtaani. Hii ni pamoja na kuinua sekta ya kilimo na ufugaji ili kizazi kijacho kisiangukie chote kwenye Umachinga
2. Kubadili mtaala wa elimu ili kuongeza ubunifu miongoni mwa vinana wetu
3. Serikali kutafta soko zuri kwa bidhaa za kilimo na mifugo.Pia kupunguza kodi kwa zana za kilimo na mifugo.
NB. Mbolea imepanda Bei lakni mazao ya nafaka yameshuka Bei maradufu
4. Kuapnga upya Ni kuleta vurugu . Na nawambia hili Ni gumu Sana na pengne halitawezekana kabisa. Ni bora mkatumia nguvu kubwa kuliko kusema mnapanga mpya . Hawa taenda kwasababu maeneo hayo hayana wateja na biashara Ni wateja.
NB. Tusipokuwa makini na sutala la MACHINGA tutasababisha vurugu,chuki hata rushwa kwa wale wanaopanga upya
Kama mnakumbuka miaka ya 2000-2015 walikuwa wanafurushwa Sana na migambo. Kuanzia mwaka 2016 mpaka sasa wamejitawala kila mahali.
Ukifika hapa Arusha Ni kero kubwa Sana. Nafikiri huu usumbufu unaweza kupunguza hata watalii.
Nashauri yafuatayo
1. Mpango wa miaka 15 uundwe ili kupunguza MACHINGA mtaani. Hii ni pamoja na kuinua sekta ya kilimo na ufugaji ili kizazi kijacho kisiangukie chote kwenye Umachinga
2. Kubadili mtaala wa elimu ili kuongeza ubunifu miongoni mwa vinana wetu
3. Serikali kutafta soko zuri kwa bidhaa za kilimo na mifugo.Pia kupunguza kodi kwa zana za kilimo na mifugo.
NB. Mbolea imepanda Bei lakni mazao ya nafaka yameshuka Bei maradufu
4. Kuapnga upya Ni kuleta vurugu . Na nawambia hili Ni gumu Sana na pengne halitawezekana kabisa. Ni bora mkatumia nguvu kubwa kuliko kusema mnapanga mpya . Hawa taenda kwasababu maeneo hayo hayana wateja na biashara Ni wateja.
NB. Tusipokuwa makini na sutala la MACHINGA tutasababisha vurugu,chuki hata rushwa kwa wale wanaopanga upya