jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Suruhisho ni viwanda tu.Wanunuzi hufuata wapi bidhaa zipo. Watu wanawafuata wamachinga kwa sababu wapo hapo. Mrundikano wa machinga karibu na maduka ni uthibitisho kuwa wanauza bidhaa za hao wenye maduka. Wakienda eneo na wasifuatwe elewa bidhaa zao zinapatikana maduka walipo kuwa, na watafute kazi ingine ya kufanya. Nguvu kazi hiyo ielekezwe kwenye uzalishaji na nchi itasonga mbele.
na Mungu alivyo mkubwa hiyo risasi itakata kona na itakupata wewe pimbi mmoja uliye na roho kama ya fisiKwa Hali ninayoiona kwa hapa Mbezi mwisho itabidi hata risasi zitumike labda apigwe machinga mmoja risasi ya kichwa ndo wanawezaelewa lakini kwa maneno mepesi tu hawa watu ni ngumu kuwatoa itakuwa tatizo kubwa Sana.
Ndo mshaambiwa tarehe 18 Sasa kaza hayo makalio yenu kama hayo mabanda yenu hatutayatumia kuni.na Mungu alivyo mkubwa hiyo risasi itakata kona na itakupata wewe pimbi mmoja uliye na roho kama ya fisi
Sent using Jamii Forums mobile app
kakwambia nani kuwa mimi ni machinga we kiazi mviringo usiyekuwa na problem solving mindsetNdo mshaambiwa tarehe 18 Sasa kaza hayo makalio yenu kama hayo mabanda yenu hatutayatumia kuni.
Du! Mkuu hongera kumbe wewe ndo think tank wetu tuliyebaki nae? Samahani sikujua nisamehe mkuu. Unajua nyie mliobarikiwa hiyo problem solving mindset ni asset kubwa sana kwa sasa. Mkuu tusaidie kututatulia suala lenu hilo kwa umahirikakwambia nani kuwa mimi ni machinga we kiazi mviringo usiyekuwa na problem solving mindset
Sent using Jamii Forums mobile app