Hatari za kuchelewa kuoa

Upo sahihi mkuu.Huko USA ,ndoa uangaliwa kwa Makin na serikali kwa kuwa ndoa utoa watoto watakaokuwa viongoz wa serikali.
 
Kuoa mapema inategemea unataka kuwa na watoto wangapi?
Unakuta mtu kaoa 22 anazaa hadi 40+ hiyo ni akili gani..
 
Nina miaka 32 nina watoto watatu. Wakwanza miaka tisa na wa mwisho miaka miwili. Lakini sina ndoa, unasemaje hapo?
 
Yote uliyoandika, hakuna la ukweli hata moja.
 
Kuoa ni option ya mtu. Sio kitu cha lazima. Haupungui chochote usipooa. Mjomba acha akili za kijijini huko mashambani. Kuoa ni personal sio societal.
Ana akili za kishamba Sana huyu motivation speaker wannabe
 
Ndo ukweli ndgu yangu!!
Misimamo inaweza kukuvusha au kukutumbukiza shimoni.

Hivyo kua makini na hiyo misimamo.
Na ni irresponsibility kubwa Sana kuzaa mtoto ambaye hujamhakikishia future yake kuwa Bora , ni ujinga Sana watu kuzaa kama bata , we have been given a sense of logic Ila watu hawatumii logic wao ni kuishi kama wanyama Tu
 
Ndoa ni zawadi toka kwa Mungu. Usimpangie lini akupe. Uki force kutokana na pressure za jamii utaichukia

Mke kukuheshimu inategemea na wewe mwenyewe unavyojiheshimu, unavyomuheshimu na unavyoyaheshimu maisha.

Nyingine ni stori za vijiweni.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]Tatizo wabongo wanakimbilia kuzaa ili watoto waje wawatunze [emoji1787]

Yaani mtoto anapewa mzigo wa kuja kulea mzazi ambae hakujipanga,hakua na plan.
Ndio maana Afrika umasikini hautaisha

Watu weupe huu ujinga hawana
Kabisa yaani , ni tambia mbovu za KiAfrica kuzaa kama bata too bad bila prior well organised plan ya kuhakikisha maisha Bora Kwa huyo mtoto . Ndio maana wanatuzalia mapanya road , a lost generation of degenerate paupers .
You should have a plan before stick out your dick or spread out your legs and open out your pussy .

Matokeo yake ni kuleta hata burden Kwa tax payers , pesa nyingi kwenda kwenye kugharamia social services kama elimu , Afya na mambo mengine pesa ambayo ingetumika hata kutoa relief na ruzuku kwenye programs kama za kilimo , mikopo ya BEI nafuu Kwa biashara na hata social safety nets kuleta maisha Bora Kwa wananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…