Hati fungani ya NMB (NMB Jamii bond) kukusanya zaidi Tsh Bilioni 400

Hati fungani ya NMB (NMB Jamii bond) kukusanya zaidi Tsh Bilioni 400


View: https://youtu.be/OA0imBYK3OQ?si=6037TuceZOK5OGHL
===
Historia imeandikwa katika Masoko ya Mitaji Afrika Mashariki leo baada ya Hati fungani ya NMB Jamii kukusanya Tsh Bilioni 400 ikiwa ni zaidi ya mara tatu ya lengo lililokusudiwa ambapo ni Tsh Bilioni 212.9 kwa fungu la shilingi za kitanzania na dola za kimarekani milioni 73 kwa fungu la dola.

Matokeo haya yametangazwa rasmi wakati wa hafla ya kuiorodhesha Hati Fungani ya NMB Jamii katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) mapema leo ambapo fedha zote zilizopatikana kupitia Hati Fungani ya Jamii zitaelekezwa katika kutoa mikopo nafuu kwenye miradi endelevu ikiwemo miradi ya nishati mbadala, miradi ya kuzuia na kudhibiti uchafuzi wa mazingira, miradi ya maji, miradi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, miradi ya wanawake, vijana, elimu, afya, nyumba nafuu na mingine inayoendana na hiyo.

NMB Jamii Bond ilizinduliwa na kuanza kuuzwa Septemba 25 hadi Oktoba 27 mwaka huu ambapo Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Ruth Zaipuna akizungumza leo amesema NMB Jamii Bond ilikuwa imegawanyika katika mafungu mawili, fungu la kwanza likihusisha shilingi za kitanzania na fungu la pili la dola za kimarekani ambako kote wamevuka lengo la makusanyo kwa kupata shilingi bilioni 212.9 kutoka bilioni 100 za lengo na upande wa dola wakikusanya milioni 73 badala ya milioni 15 walizolenga.

“Kwa mantiki hiyo, thamani ya jumla ya fedha zilizopatikana kutokana na NMB Jamii Bond ni Sh. Bilioni 400, ambazo ni mara tatu zaidi ya lengo tulilokuwa nalo” amebainisha Ruth Zaipuna huku akiwahakikishia Wateja zaidi ya 5,600 walionunua Hati Fungani hizo kuwa pesa zao ziko mikono salama.

Kwa upande wake, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, ambaye alikuwa Mgeni rasmi wa hafla hiyo aliipongeza NMB kwa kuweka rekodi ya bilioni 400 za mauzo ya Hati Fungani hiyo “Hati Fungani ni fursa muhimu kwa jamii kunufaika kwa njia mbili za kuweka akiba lakini pia kufanya uwekezaji wenye faida kubwa, bond ni mkopo ambao Taasisi ya fedha inakopa kwa Wananchi, NMB ingeweza kwenda kukopa BoT au Benki za nje lakini ikachagua kukopa kwa Wananchi kupitia mdhamana wao ambaye ni CMSA na inarejesha kwa riba kubwa ya asilimia 9.5”

Nunua Sasa Jamii Bond kuanzia TZS 500,000 upate mpaka 9.5%

Naomba anyejua vizuri kuhusu hii Jamii bond atusaidie
 
Ngoja tuone walioweka hela huko kama yaliyomo yamo kweli!

Kule kwenye Fixed NMB ni kichefuchefu.
Huyu CEO yuko vizuri ila kwa fedha zitakapoelekezwa panatia shaka. Nanukuu:

"....ambapo fedha zote zilizopatikana kupitia Hati Fungani ya Jamii zitaelekezwa katika kutoa mikopo nafuu kwenye miradi endelevu ikiwemo miradi ya nishati mbadala, miradi ya kuzuia na kudhibiti uchafuzi wa mazingira, miradi ya maji, miradi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, miradi ya wanawake, vijana, elimu, afya, nyumba nafuu na mingine inayoendana na hiyo...."

Hiyo miradi niliyobold ni migumu kuleta faida kubwa kwa benki, kwa mazingira ya kibongo. Wamefanya kuenda na beat la WEF kuhusu global warming na green energy wakati ni mambo ya kina Wells Fargo na JP Morgan Chase.
 
Huyu CEO yuko vizuri ila kwa fedha zitakapoelekezwa panatia shaka. Nanukuu:

"....ambapo fedha zote zilizopatikana kupitia Hati Fungani ya Jamii zitaelekezwa katika kutoa mikopo nafuu kwenye miradi endelevu ikiwemo miradi ya nishati mbadala, miradi ya kuzuia na kudhibiti uchafuzi wa mazingira, miradi ya maji, miradi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, miradi ya wanawake, vijana, elimu, afya, nyumba nafuu na mingine inayoendana na hiyo...."

Hiyo miradi niliyobold ni migumu kuleta faida kubwa kwa benki, kwa mazingira ya kibongo. Wamefanya kuenda na beat la WEF kuhusu global warming na green energy wakati ni mambo ya kina Wells Fargo na JP Morgan Chase.
Huenda labda wameshafanya utafiti wa kina na wameona iko fursa kwenye hilo, tuwape muda
 

===
Historia imeandikwa katika Masoko ya Mitaji Afrika Mashariki leo baada ya Hati fungani ya NMB Jamii kukusanya Tsh Bilioni 400 ikiwa ni zaidi ya mara tatu ya lengo lililokusudiwa ambapo ni Tsh Bilioni 212.9 kwa fungu la shilingi za kitanzania na dola za kimarekani milioni 73 kwa fungu la dola.

Matokeo haya yametangazwa rasmi wakati wa hafla ya kuiorodhesha Hati Fungani ya NMB Jamii katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) mapema leo ambapo fedha zote zilizopatikana kupitia Hati Fungani ya Jamii zitaelekezwa katika kutoa mikopo nafuu kwenye miradi endelevu ikiwemo miradi ya nishati mbadala, miradi ya kuzuia na kudhibiti uchafuzi wa mazingira, miradi ya maji, miradi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, miradi ya wanawake, vijana, elimu, afya, nyumba nafuu na mingine inayoendana na hiyo.

NMB Jamii Bond ilizinduliwa na kuanza kuuzwa Septemba 25 hadi Oktoba 27 mwaka huu ambapo Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Ruth Zaipuna akizungumza leo amesema NMB Jamii Bond ilikuwa imegawanyika katika mafungu mawili, fungu la kwanza likihusisha shilingi za kitanzania na fungu la pili la dola za kimarekani ambako kote wamevuka lengo la makusanyo kwa kupata shilingi bilioni 212.9 kutoka bilioni 100 za lengo na upande wa dola wakikusanya milioni 73 badala ya milioni 15 walizolenga.

“Kwa mantiki hiyo, thamani ya jumla ya fedha zilizopatikana kutokana na NMB Jamii Bond ni Sh. Bilioni 400, ambazo ni mara tatu zaidi ya lengo tulilokuwa nalo” amebainisha Ruth Zaipuna huku akiwahakikishia Wateja zaidi ya 5,600 walionunua Hati Fungani hizo kuwa pesa zao ziko mikono salama.

Kwa upande wake, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, ambaye alikuwa Mgeni rasmi wa hafla hiyo aliipongeza NMB kwa kuweka rekodi ya bilioni 400 za mauzo ya Hati Fungani hiyo “Hati Fungani ni fursa muhimu kwa jamii kunufaika kwa njia mbili za kuweka akiba lakini pia kufanya uwekezaji wenye faida kubwa, bond ni mkopo ambao Taasisi ya fedha inakopa kwa Wananchi, NMB ingeweza kwenda kukopa BoT au Benki za nje lakini ikachagua kukopa kwa Wananchi kupitia mdhamana wao ambaye ni CMSA na inarejesha kwa riba kubwa ya asilimia 9.5”

Nunua Sasa Jamii Bond kuanzia TZS 500,000 upate mpaka 9.5%

Binafsi namkubali sana Bi Ruth Zaipuna,

Huyu Mama ni wa mipango sana,

Hii program anayokuja nayo italinufaisha sana Taifa hili,

Nadhani kama Taifa lazima tuvilee hivi vipaji vinavyochipukia namna hii,

Sio mbaya na NBC wakaiga hili linalofanywa na mtoto wake
 

===
Historia imeandikwa katika Masoko ya Mitaji Afrika Mashariki leo baada ya Hati fungani ya NMB Jamii kukusanya Tsh Bilioni 400 ikiwa ni zaidi ya mara tatu ya lengo lililokusudiwa ambapo ni Tsh Bilioni 212.9 kwa fungu la shilingi za kitanzania na dola za kimarekani milioni 73 kwa fungu la dola.

Matokeo haya yametangazwa rasmi wakati wa hafla ya kuiorodhesha Hati Fungani ya NMB Jamii katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) mapema leo ambapo fedha zote zilizopatikana kupitia Hati Fungani ya Jamii zitaelekezwa katika kutoa mikopo nafuu kwenye miradi endelevu ikiwemo miradi ya nishati mbadala, miradi ya kuzuia na kudhibiti uchafuzi wa mazingira, miradi ya maji, miradi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, miradi ya wanawake, vijana, elimu, afya, nyumba nafuu na mingine inayoendana na hiyo.

NMB Jamii Bond ilizinduliwa na kuanza kuuzwa Septemba 25 hadi Oktoba 27 mwaka huu ambapo Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Ruth Zaipuna akizungumza leo amesema NMB Jamii Bond ilikuwa imegawanyika katika mafungu mawili, fungu la kwanza likihusisha shilingi za kitanzania na fungu la pili la dola za kimarekani ambako kote wamevuka lengo la makusanyo kwa kupata shilingi bilioni 212.9 kutoka bilioni 100 za lengo na upande wa dola wakikusanya milioni 73 badala ya milioni 15 walizolenga.

“Kwa mantiki hiyo, thamani ya jumla ya fedha zilizopatikana kutokana na NMB Jamii Bond ni Sh. Bilioni 400, ambazo ni mara tatu zaidi ya lengo tulilokuwa nalo” amebainisha Ruth Zaipuna huku akiwahakikishia Wateja zaidi ya 5,600 walionunua Hati Fungani hizo kuwa pesa zao ziko mikono salama.

Kwa upande wake, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, ambaye alikuwa Mgeni rasmi wa hafla hiyo aliipongeza NMB kwa kuweka rekodi ya bilioni 400 za mauzo ya Hati Fungani hiyo “Hati Fungani ni fursa muhimu kwa jamii kunufaika kwa njia mbili za kuweka akiba lakini pia kufanya uwekezaji wenye faida kubwa, bond ni mkopo ambao Taasisi ya fedha inakopa kwa Wananchi, NMB ingeweza kwenda kukopa BoT au Benki za nje lakini ikachagua kukopa kwa Wananchi kupitia mdhamana wao ambaye ni CMSA na inarejesha kwa riba kubwa ya asilimia 9.5”

Nunua Sasa Jamii Bond kuanzia TZS 500,000 upate mpaka 9.5%

NMB nakuamini sana, Hongera team NMB hakika mko vizuri sana
 
Wawekeze nje ya Nchi yetu pia, maana hapa Afrika Mashariki Bank za Kenya zinadominate soko la Kibenk, EQUITY BANK na KCB yapo kila mahali hapa Afrika Mashariki. CRDB, NBC na NMB zina dhima kuu ya kufanya biashara nje ya mipaka yetu.
 
Wawekeze nje ya Nchi yetu pia, maana hapa Afrika Mashariki Bank za Kenya zinadominate soko la Kibenk, EQUITY BANK na KCB yapo kila mahali hapa Afrika Mashariki. CRDB, NBC na NMB zina dhima kuu ya kufanya biashara nje ya mipaka yetu.
Sahihi kabisa, Wafungue matawi kwenye nchi zote za Africa Mashariki ili kuwapiku hao Kenya
 
Haifunguki

Screenshot_20231213-043045.jpg
 
Huyu CEO yuko vizuri ila kwa fedha zitakapoelekezwa panatia shaka. Nanukuu:

"....ambapo fedha zote zilizopatikana kupitia Hati Fungani ya Jamii zitaelekezwa katika kutoa mikopo nafuu kwenye miradi endelevu ikiwemo miradi ya nishati mbadala, miradi ya kuzuia na kudhibiti uchafuzi wa mazingira, miradi ya maji, miradi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, miradi ya wanawake, vijana, elimu, afya, nyumba nafuu na mingine inayoendana na hiyo...."

Hiyo miradi niliyobold ni migumu kuleta faida kubwa kwa benki, kwa mazingira ya kibongo. Wamefanya kuenda na beat la WEF kuhusu global warming na green energy wakati ni mambo ya kina Wells Fargo na JP Morgan Chase.
Kwenye green energy wanaweza wakafanikiwa vizuri lakini serikali nayo isaidie especially kupunguza au kuondoa taxes maeneo hayo, watu wamechoka na u meme wa ovyo wa TANESCO, magari ya umeme, solar na battery technology yanaweza sana kufanikiwa TZ na itasaidia kupunguza inflation kutokana na mafuta ya waarabu tunayoagiza Kwa billions Kila mwaka, Tanzania Kuna jua kuliko mahitaji sijui kwanini solar isiwe kipaumbele, sio kwenye nyumba tuu hata viwanda vya kuzalisha panels, battery etc tujenge vyetu sio kuagiza China
 
Kwenye green energy wanaweza wakafanikiwa vizuri lakini serikali nayo isaidie especially kupunguza au kuondoa taxes maeneo hayo, watu wamechoka na u meme wa ovyo wa TANESCO, magari ya umeme, solar na battery technology yanaweza sana kufanikiwa TZ na itasaidia kupunguza inflation kutokana na mafuta ya waarabu tunayoagiza Kwa billions Kila mwaka, Tanzania Kuna jua kuliko mahitaji sijui kwanini solar isiwe kipaumbele, sio kwenye nyumba tuu hata viwanda vya kuzalisha panels, battery etc tujenge vyetu sio kuagiza China
Hakina, nakubaliana na wewe 100%

Hii bank ikiamua kuwekeza kwenye green energy naamini hata riba itapunguza sana kwani hiyo kazi itawapa pesa nyingi
 

===
Historia imeandikwa katika Masoko ya Mitaji Afrika Mashariki leo baada ya Hati fungani ya NMB Jamii kukusanya Tsh Bilioni 400 ikiwa ni zaidi ya mara tatu ya lengo lililokusudiwa ambapo ni Tsh Bilioni 212.9 kwa fungu la shilingi za kitanzania na dola za kimarekani milioni 73 kwa fungu la dola.

Matokeo haya yametangazwa rasmi wakati wa hafla ya kuiorodhesha Hati Fungani ya NMB Jamii katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) mapema leo ambapo fedha zote zilizopatikana kupitia Hati Fungani ya Jamii zitaelekezwa katika kutoa mikopo nafuu kwenye miradi endelevu ikiwemo miradi ya nishati mbadala, miradi ya kuzuia na kudhibiti uchafuzi wa mazingira, miradi ya maji, miradi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, miradi ya wanawake, vijana, elimu, afya, nyumba nafuu na mingine inayoendana na hiyo.

NMB Jamii Bond ilizinduliwa na kuanza kuuzwa Septemba 25 hadi Oktoba 27 mwaka huu ambapo Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Ruth Zaipuna akizungumza leo amesema NMB Jamii Bond ilikuwa imegawanyika katika mafungu mawili, fungu la kwanza likihusisha shilingi za kitanzania na fungu la pili la dola za kimarekani ambako kote wamevuka lengo la makusanyo kwa kupata shilingi bilioni 212.9 kutoka bilioni 100 za lengo na upande wa dola wakikusanya milioni 73 badala ya milioni 15 walizolenga.

“Kwa mantiki hiyo, thamani ya jumla ya fedha zilizopatikana kutokana na NMB Jamii Bond ni Sh. Bilioni 400, ambazo ni mara tatu zaidi ya lengo tulilokuwa nalo” amebainisha Ruth Zaipuna huku akiwahakikishia Wateja zaidi ya 5,600 walionunua Hati Fungani hizo kuwa pesa zao ziko mikono salama.

Kwa upande wake, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, ambaye alikuwa Mgeni rasmi wa hafla hiyo aliipongeza NMB kwa kuweka rekodi ya bilioni 400 za mauzo ya Hati Fungani hiyo “Hati Fungani ni fursa muhimu kwa jamii kunufaika kwa njia mbili za kuweka akiba lakini pia kufanya uwekezaji wenye faida kubwa, bond ni mkopo ambao Taasisi ya fedha inakopa kwa Wananchi, NMB ingeweza kwenda kukopa BoT au Benki za nje lakini ikachagua kukopa kwa Wananchi kupitia mdhamana wao ambaye ni CMSA na inarejesha kwa riba kubwa ya asilimia 9.5”

Nunua Sasa Jamii Bond kuanzia TZS 500,000 upate mpaka 9.5%

Naona Ruth ameamua kuwanyooaha zaidi wenzake kwenye faida, hakika hii ni zaidi ya bank,

NMB ni mkombozi kubali kataa
 
Kwenye green energy wanaweza wakafanikiwa vizuri lakini serikali nayo isaidie especially kupunguza au kuondoa taxes maeneo hayo, watu wamechoka na u meme wa ovyo wa TANESCO, magari ya umeme, solar na battery technology yanaweza sana kufanikiwa TZ na itasaidia kupunguza inflation kutokana na mafuta ya waarabu tunayoagiza Kwa billions Kila mwaka, Tanzania Kuna jua kuliko mahitaji sijui kwanini solar isiwe kipaumbele, sio kwenye nyumba tuu hata viwanda vya kuzalisha panels, battery etc tujenge vyetu sio kuagiza China
Hii ni comment yangu Bora ya siku
 
Back
Top Bottom