Hati kwa mkopo

Hati kwa mkopo

HALAL

New Member
Joined
Aug 8, 2011
Posts
1
Reaction score
0
Ndugu wana jamii,ni wapi naweza kupata mkopo kwa kuweka hati ya kiwanja changu kama security?
Sina biashara yeyote na sija ajiriwa sehemu yeyote.Ila nina business idea ambayo nataka kuifanyia kazi
kama nikifanikiwa kupata pesa.
Natanguliza shukrani.
Mwn jamii.
 
Mkuu, kiwanja chako kipo sehemu gani? Halafu kina hati hicho kiwanja chako.
Ni Sq mita ngapi, na unaitaji mkopo wa kiasi gani?
 
Aisee hapo ngumu sana maana bank wao huwa hawana biashara ya kuuza viwanja. Nini wanataka ni kipato chako ambacho kitalipia mkopo sasa kama huna income kwa jinsi ninavyozijua financial institution zetu TAFUTA UFUMBUZI MWINGINE KAMA KUKOPA KWA JAMAA AU NDUGU.
Mawazo yangu.
 
Back
Top Bottom