Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,866
- 1,076
...kiwanja au nyumba ni kitu kimoja kisheria, so ukinunua kiwanja halafu ukapewa offer/hati then ukajenga nyumba, hakuna kitakachobadilika kwenye hiyo hati yakoUnaponunua uwanja ukapewa offer.je ukijenga nyumba kwenye ule uwanja unapewa tena offer?
Mkuu Nina swali langu hapo juu naomba kamsaada nimekwama...kiwanja au nyumba ni kitu kimoja kisheria, so ukinunua kiwanja halafu ukapewa offer/hati then ukajenga nyumba, hakuna kitakachobadilika kwenye hiyo hati yako
...okay, 1. ningependa kufahamu kama mmefunga ndoa?Mkuu Nina swali langu hapo juu naomba kamsaada nimekwama
Tulifunga ndoa kanisani,na wamenipa barua ya kwenda mahakamani,wakati anaondoka hatukupeana talaka maana alitoroka na hata baadhi ya samani za ndani alizouza alivizia sipo akaiba na kuuza,nilitoa taarifa polisi na nna rb,aliporudi palipita suruhu ya kidini,lkn ujeuri wake umerudia vile vile,...okay, 1. ningependa kufahamu kama mmefunga ndoa?
2. je mlipeana talaka wakati mnaachana, au aliondoka tu kiaina then amerudi?
3. na unaposema amerudi, unamaanisha karudi muishi au kudai mali?, na kwa sasa anaishi wapi?
4. kwa sasa anaishi na mwanaume mwingine?
5. ni muda gani umepita tangu alipoondoka?
6. vipi kuhusu hivyo vitu vya ndani alivyouza, thamani yake, na je mlikubaliana aviuze?.
naomba unijibu hayo maswali, nitakusaidia, lakini pia kwa hivyo vichache ulivyovieleza hapa, ana nafasi ndogo sana ya kushinda kesi endapo ataenda mahakamani, na kama umeandika majina ya watoto, kwa utashi wa mahakama hawataweza kuhamisha huo umiliki kwenda kwa mtu mwingine, kwa kuwa mahakama inalinda zaidi haki za mtoto.
karibu
Kwanini unapenda kutumia maneno kamaSawa kaka ilaaa kwa fikra za kawaida mzazi awe na hakiiiiiii kuliko wanaeeeee kweliiiii duuuu maanaaa wanawakeee wengne waluwaluuuu kweliiiii
Anasikia raha ku-type mara nyingi nyingiKwanini unapenda kutumia maneno kama
Ilaaa,kweliii ,duuuu ,wanaeeeer?
Unapojenga nyumba kwenye ardhi ile nyumba inakua ni sehemu ya ile ardhi hivyo hauhitaji hati nyingineUnaponunua uwanja ukapewa offer.je ukijenga nyumba kwenye ule uwanja unapewa tena offer?
Atakuwa Chalii HuyooUnawaachia urithi (mjifunze kuandika wosia) ila mahakama huwapa watoto.
Nje ya mada..... mwandiko wako umenikwaza....kama maliiii na nduguuuu ndio kitu gani???
Maliii = mali
Nduguu = ndugu
Inakuwajeeee= inakuwaje
Hapooo = hapo
Bado hujamjibu swali la huyo mwanamke anaishi wapi kwa sasa na ana mwanaume anayeishi naye?Tulifunga ndoa kanisani,na wamenipa barua ya kwenda mahakamani,wakati anaondoka hatukupeana talaka maana alitoroka na hata baadhi ya samani za ndani alizouza alivizia sipo akaiba na kuuza,nilitoa taarifa polisi na nna rb,aliporudi palipita suruhu ya kidini,lkn ujeuri wake umerudia vile vile,
Kinachonikwamisha sana ni muda wa kufuatilia kesi,maana mwenzangu anajua nimebanwa na muda hivo analeta usumbufu sn ili kukwamisha,nimewaza kuwamilikisha Mali zangu pamoja na nyumba wanangu ili km shortcut ya mgogoro lkn sijui baada ya kuwamilikisha nyumba watakuwa na mamlaka full juu ya nyumba na je wanaweza kumuondoa yy ili waipangishe?,maana nnawaza kuchukua watoto wote nikakae nao kazini kwangu maana mdogo ana miaka 7wakubwa wana 17,napo sijajua sheria imekaaje kwa hilo,lkn kwa kifupi nimekamatika balaa
Hati ni moja tu! Unapojenga ndiyo thamani uongezeka.Hivi kuna hati ya uwanja na ya nyumba?
Naishi naeBado hujamjibu swali la huyo mwanamke anaishi wapi kwa sasa na ana mwanaume anayeishi naye?
Basi tusubiri Chagga King atasemaje maana ndiye aliyeuliza.Naishi nae