Hati ya Talaka ya Bi Mshumbusi hiii hapa.

Hati ya Talaka ya Bi Mshumbusi hiii hapa.

Mzee wa Rula

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2010
Posts
8,169
Reaction score
3,351
talaka.JPG

Kwa maelezo na longo longo nyingine zote Global Publishers
 
so what next?

Umesoma link niliyokupa lakini?????

Ni aibu kwa mumewe kupeleka pingamizi wakati anajua kabisa alichamuacha????? Upooooo?

Na kwa lugha nyingine kama Dr. Slaa hana ndoa aliyofunga kanisani basi kumbe hakuna pingamizi lolote zaidi ya kutaka kuchafuana kisiasa tu.
 
Siasa zetu za siku hizi bwana...zimejaa komedi tu
 
Dates mbona ni mpya na madame anasema kidume kinachapa mzigo mwaka wa nne sasa, when dots connected inamaana watu wanakula mzigo kitambo na jamaaa kakubali matokeo manake hata uking'ang'ania wajanja wanachapa na mwenye kisu ndio mlanyama.

How comes madame wa mwanza, ex wa same na court of jurisdiction iwe manzese kama sio kuweka rekodi sawa ni nini jamani.
 
Tangu lini ndoa ya kikristo ikavunjika? Tena kwa taraka? Ndoa ya Mshumbusi haijavunjika hivyo Padri Slaa anafanya dhambi ya uzinzi.
 
Tangu lini ndoa ya kikristo ikavunjika? Tena kwa taraka? Ndoa ya Mshumbusi haijavunjika hivyo Padri Slaa anafanya dhambi ya uzinzi.

Ndoa ya kikristo inaweza kuvunjika kwa sababu ya uzinzi kama wa mumeo Mushumbusi ulivyoelezewa katika link ile ya Globalpublishres
 
Back
Top Bottom