Newland
Member
- Oct 20, 2012
- 29
- 6
Naomba msaada wa kisheria hapa. Hawa jamaa wa kikosi cha zima moto wanapita katika maduka hapa babati na kuwalazimisha watu watoe hela Tsh 40,000/= kwa ajili ya certificate ya usalama wa moto. Wanadai wanafanya hiv kulingana na sheria ya jeshi la zima moto na uokoaji Na 14 ya 2007, kifungu cha 32(g).
Pia wanasema ada rasmi ni Tsh.100,000/= ila wao wamepunguza kulingana na mazingira halisi ya watu.
Hii ada wanadai ni fomu ya maombi ya hiyo hati. Ila swala la mtungi wa gesi ni juu yako. Hata hivyo wanadai pia hii ada ni kila mwaka.
Naomba msaada tafadhali.
Pia wanasema ada rasmi ni Tsh.100,000/= ila wao wamepunguza kulingana na mazingira halisi ya watu.
Hii ada wanadai ni fomu ya maombi ya hiyo hati. Ila swala la mtungi wa gesi ni juu yako. Hata hivyo wanadai pia hii ada ni kila mwaka.
Naomba msaada tafadhali.