Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RIR = 12%
Thank you brotherRIR = 12%
Kwahiyo nikiwekeza 100Mil napata 12Mil
Ila usisahau REAL INTEREST = NOMINAL INTEREST - INFLATION
Hivyo basi:-
Inflation Bongo, maximum huwa 5 na Minimum 4. Imekuwa hivi kwa muda mrefuu.
Tuchukue minimum rate.
Real Interest = 12% - 4% = 8%
Kwahiyo the REAL GAINING = 8%
Yaani unampa mtu 100mil ili akupe 8Mil kwa mwaka.
Maamuzi ni yako.
KUPANGA NI KUCHAGUA.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
ni sahihi unaweza kuwekeza kokote iyo 100mil hata kwenye bolts then ukaanza kupambana na hao uliowajiri maana wameshageuka kuwa mabosi wako. saivi wao ndo wanaamua wakupe au wasikupe.KUPANGA NI KUCHAGUA
RIR = 12%
Kwahiyo nikiwekeza 100Mil napata 12Mil
Ila usisahau REAL INTEREST = NOMINAL INTEREST - INFLATION
Hivyo basi:-
Inflation Bongo, maximum huwa 5 na Minimum 4. Imekuwa hivi kwa muda mrefuu.
Tuchukue minimum rate.
Real Interest = 12% - 4% = 8%
Kwahiyo the REAL GAINING = 8%
Yaani unampa mtu 100mil ili akupe 8Mil kwa mwaka.
Maamuzi ni yako.
KUPANGA NI KUCHAGUA.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Vipi unaifahamu ile SAMIA BOND type mchanganuo Ingawa imeshafungwa.RIR = 12%
Kwahiyo nikiwekeza 100Mil napata 12Mil
Ila usisahau REAL INTEREST = NOMINAL INTEREST - INFLATION
Hivyo basi:-
Inflation Bongo, maximum huwa 5 na Minimum 4. Imekuwa hivi kwa muda mrefuu.
Tuchukue minimum rate.
Real Interest = 12% - 4% = 8%
Kwahiyo the REAL GAINING = 8%
Yaani unampa mtu 100mil ili akupe 8Mil kwa mwaka.
Maamuzi ni yako.
KUPANGA NI KUCHAGUA.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Kama ni mkataba wa miaka kumi utaondoka na 180mRIR = 12%
Kwahiyo nikiwekeza 100Mil napata 12Mil
Ila usisahau REAL INTEREST = NOMINAL INTEREST - INFLATION
Hivyo basi:-
Inflation Bongo, maximum huwa 5 na Minimum 4. Imekuwa hivi kwa muda mrefuu.
Tuchukue minimum rate.
Real Interest = 12% - 4% = 8%
Kwahiyo the REAL GAINING = 8%
Yaani unampa mtu 100mil ili akupe 8Mil kwa mwaka.
Maamuzi ni yako.
KUPANGA NI KUCHAGUA.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Comment yangu inaenda kwa kila aina ya Financial Instrument inayotoa RIR kwa mwaka kama SAMIA BOND na Wengine woteeeeVipi unaifahamu ile SAMIA BOND type mchanganuo Ingawa imeshafungwa.
Siku hiz umekuwa kama botDuh aiseee
Dah sorry ila upo Shalooo sanaa.Kama ni mkataba wa miaka kumi utaondoka na 180m
Financial Market is for High PRINCIPLE INSTALLATIONS.Hiyo biashara ya wenye mitaji kikubwa Sana au watu wenye mitaji kidogo Ila waoga wa biashara.
Waoga wa risk.
Mwisho wa siku tukubaliane kuwa ""Sio kila mtu anaweza biashara"ni sahihi unaweza kuwekeza kokote iyo 100mil hata kwenye bolts then ukaanza kupambana na hao uliowajiri maana wameshageuka kuwa mabosi wako. saivi wao ndo wanaamua wakupe au wasikupe.
Uliza chochote weekend kama hii muda wa kujibu upo.Thank you brother
Ila una madini mengi ya finance and investment km vipi tupe darasa majukumu yakiwa so mengi...... i request
Samia Bond unapata interest ya 12% bila Kodi kwa mwaka na gawio unapata mara 4 ndani ya mwaka husika .....Hela hii itatumika kuwekeza katika miradi ya TARURA kuboresha miundombinu hapa Tanzania kwa miaka Mi tanoVipi unaifahamu ile SAMIA BOND type mchanganuo Ingawa imeshafungwa.
Tatizo hizi mambo huwa hawasemi yote unapo invest. Ukifika wakati unataka kuchukua faida zako unasikia "Kweli hakuna kodi/makato ila kuna hii inflation (4%)".Samia Bond unapata interest ya 12% bila Kodi kwa mwaka na gawio unapata mara 4 ndani ya mwaka husika .....Hela hii itatumika kuwekeza katika miradi ya TARURA kuboresha miundombinu hapa Tanzania kwa miaka Mi tano
Ila kama ni asilimia 12 wanatoa kwa Riba kwa mwaka means kama hela utachukua baada ya miaka mitano wao watakupigia mahesabu kwa hiyo hiyo 12% waliyosema.Tatizo hizi mambo huwa hawasemi yote unapo invest. Ukifika wakati unataka kuchukua faida zako unasikia "Kweli hakuna kodi/makato ila kuna hii inflation (4%)".
Unapata tofauti na ulichotegemea.
Of cause Samia Bond waliweka kikokotoo online kinaonesha hakuna hiyo Inflation n.k.