Hatima Diamond Kathibitisha ndoa yake na Zari

Joined
Oct 4, 2016
Posts
49
Reaction score
81
Diamond platunumz amepost katika ukurasa wake wa Instagram huku akionesha ushahidi ambao unathibisha ukweli wa ndoa yao kukaribia
Zarithebossylady ambaye ametoka Afrika Kusini yupo nchini Tanzania kwa sasa

Baadhi ya watu wamekuwa wakieleza kuwa msanii Diamond ndiye msanii pekee Tanzania ambaye hapendwi na wanawake masuperstar wa Tanzania kwa kile wanachoita dharau ya kumuoa mganda baada ya kuwa ameshawachafua kimwili masuperstar hao



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si njaa zao ndo zilizowapeleka,kama huyo mwengine aliyejifanya kuzaa naye na kutafuta kiki.swali fupi tu,hivi tangu waanze kungonoka mahusiano yao ya kwanza alikuwa diamond tu? Hakukuwa na wengine kabla ya yeye? Au kwa sababu anaukwasi na wao walitegemea njaa zao wapate hisani yake? Mambo yalipoenda mlama wanadai wamechafuliwa.Tena wengine walivyokuwa hawana haya wanajitangaza kabisa kwenye media kwamba,akitaka hata uvunguni anapewa,Hakuna mwanaume anayekataa papuchi za watoto wazuri zinazotaka kushughulikiwa.Teh teh teh
 
kifimbocheza_ huwezi acha mademu wa kitaani kwenu,afu utegemee mademu wa kitaani kumpenda!
Atafute sapoti ya waganda,sapoti ya home from Bongo ladies ataisikia kwenye bomba...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…