Hatima ya Jengo la kiuchumi la kanisa la Anglican(SAFINA HOUSE) mjini Dodoma, inaweza kuwa kama ya Jengo la TANESCO pale Ubungo, Dar-es-Salaam

Hatima ya Jengo la kiuchumi la kanisa la Anglican(SAFINA HOUSE) mjini Dodoma, inaweza kuwa kama ya Jengo la TANESCO pale Ubungo, Dar-es-Salaam

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Huu ni mtazamo kulingana na ukweli kuwa, Jengo hili kubwa na zuri, limejengwa pembezeni mwa barabara inayoingia mijini Dodoma (katika ya mji) huku barabara ikiwa finyu na magari teyari ni mengi na siku zijazo barabara itahitajika kupanuliwa.

Ukiangalia, ni wazi watakuwa wamejenga nje ya hifadhi ya barabara(kwa nchi yetu, kinyume chake pia inawezekanaila). Hata hivyo, ni ukweli pia ile barabara sasa inaanza kuwa nyembamba kutokana na ongezeko la magari huku mji ukiwa unapanuka na teyari foleni Dodoma zimeanza.

Hivyo, kwa mtazamo wangu, miaka 10 ijayo(pengine kabla hata ya hio miaka 10), barabara hii itahitajika kupanuliwa, na sehemu ya hilo Jengo sambamba na majengo mengine, yatalazimika kubomolewa kama ilivyokuwa kwa Jengo la TANESCO pale Ubungo, Dar-es-Salaam.

Time will tell.
 
Huu ni mtazamo kulingana na ukweli kuwa, Jengo hili kubwa na zuri, limejengwa pembezeni mwa barabara inayoingia mijini Dodoma (katika ya mji) huku barabara ikiwa finyu na magari teyari ni mengi na siku zijazo barabara itahitajika kupanuliwa.

Ukiangalia, ni wazi watakuwa wamejenga nje ya hifadhi ya barabara(kwa nchi yetu, kinyume chake pia inawezekanaila). Hata hivyo, ni ukweli pia ile barabara sasa inaanza kuwa nyembamba kutokana na ongezeko la magari huku mji ukiwa unapanuka na teyari foleni Dodoma zimeanza.

Hivyo, kwa mtazamo wangu, miaka 10 ijayo(pengine kabla hata ya hio miaka 10), barabara hii itahitajika kupanuliwa, na sehemu ya hilo Jengo sambamba na majengo mengine, yatalazimika kubomolewa kama ilivyokuwa kwa Jengo la TANESCO pale Ubungo, Dar-es-Salaam.

Time will tell.
Pale kupanua ni vigumu mnooo
Itabaki kama ilivyo Posta ya Zamani au ukiwa unaingia Posta Mpya Dar
 
Huu ni mtazamo kulingana na ukweli kuwa, Jengo hili kubwa na zuri, limejengwa pembezeni mwa barabara inayoingia mijini Dodoma (katika ya mji) huku barabara ikiwa finyu na magari teyari ni mengi na siku zijazo barabara itahitajika kupanuliwa.

Ukiangalia, ni wazi watakuwa wamejenga nje ya hifadhi ya barabara(kwa nchi yetu, kinyume chake pia inawezekanaila). Hata hivyo, ni ukweli pia ile barabara sasa inaanza kuwa nyembamba kutokana na ongezeko la magari huku mji ukiwa unapanuka na teyari foleni Dodoma zimeanza.

Hivyo, kwa mtazamo wangu, miaka 10 ijayo(pengine kabla hata ya hio miaka 10), barabara hii itahitajika kupanuliwa, na sehemu ya hilo Jengo sambamba na majengo mengine, yatalazimika kubomolewa kama ilivyokuwa kwa Jengo la TANESCO pale Ubungo, Dar-es-Salaam.

Time will tell.
hayo ni maoni yako tu... unadhani taasisi kubwa kama ile inaweza fanya maamuzi bila kufanya upembuzi yakinifu? isitoshe mji wa dodoma (dodoma jiji umepimwa toka enzi ya mkoloni, sio kama dar au mbeya na kwingineko..... pia kanisa aglikana ni taasisi kubwa sana nchi, na kati ya mikoa iliyo wekeza sana na yenye maeneo mengi sana Dodoma naweza sema inaongoza, hivi unajua hadi sehemu walipo jenga bank kuu kanisa anglican ndilo liliipisha serikali?

itoshe kusema hayo tu.....
 
Hizo barabara za kuingia na kutoka Dodoma tayari zilishafanyiwa mipango yake. Ukiona hivyo ujue hawa hawana wasi na hiyo nafasi iliyojengwa.
 
hayo ni maoni yako tu... unadhani taasisi kubwa kama ile inaweza fanya maamuzi bila kufanya upembuzi yakinifu? isitoshe mji wa dodoma (dodoma jiji umepimwa toka enzi ya mkoloni, sio kama dar au mbeya na kwingineko..... pia kanisa aglikana ni taasisi kubwa sana nchi, na kati ya mikoa iliyo wekeza sana na yenye maeneo mengi sana Dodoma naweza sema inaongoza, hivi unajua hadi sehemu walipo jenga bank kuu kanisa anglican ndilo liliipisha serikali?

itoshe kusema hayo tu.....
Habari za hapo angrikan broo
 
Huu ni mtazamo kulingana na ukweli kuwa, Jengo hili kubwa na zuri, limejengwa pembezeni mwa barabara inayoingia mijini Dodoma (katika ya mji) huku barabara ikiwa finyu na magari teyari ni mengi na siku zijazo barabara itahitajika kupanuliwa.

Ukiangalia, ni wazi watakuwa wamejenga nje ya hifadhi ya barabara(kwa nchi yetu, kinyume chake pia inawezekanaila). Hata hivyo, ni ukweli pia ile barabara sasa inaanza kuwa nyembamba kutokana na ongezeko la magari huku mji ukiwa unapanuka na teyari foleni Dodoma zimeanza.

Hivyo, kwa mtazamo wangu, miaka 10 ijayo(pengine kabla hata ya hio miaka 10), barabara hii itahitajika kupanuliwa, na sehemu ya hilo Jengo sambamba na majengo mengine, yatalazimika kubomolewa kama ilivyokuwa kwa Jengo la TANESCO pale Ubungo, Dar-es-Salaam.

Time will tell.
Jengo hilo lipo katikati ya mji hivyo halina shida, bahati nzuti ni kuwa barabara kuu imeondolewa mjini na kujengwa nje ya mji, hii ni kulingana na kanuni za barabara kuu.
 
Jengo hilo lipo katikati ya mji hivyo halina shida, bahati nzuti ni kuwa barabara kuu imeondolewa mjini na kujengwa nje ya mji, hii ni kulingana na kanuni za barabara kuu.
Yes kuna ring road inajengwa pembeni kabisa ya mji....Dodoma Jiji kwenye upande wa ubora wa mipangomiji na miundombinu hawana mshindani yeyote Tanzania.
 
Yes kuna ring road inajengwa pembeni kabisa ya mji....Dodoma Jiji kwenye upande wa ubora wa mipangomiji na miundombinu hawana mshindani yeyote Tanzania.
Hata hivyo mpango wa awali ulivurugwa kwa kujenga nyumba mbele ya nyumba za mpango wa awali vikiwepo kituo vha mafuta cha Shabibby na Area C na D.
 
Huu ni mtazamo kulingana na ukweli kuwa, Jengo hili kubwa na zuri, limejengwa pembezeni mwa barabara inayoingia mijini Dodoma (katika ya mji) huku barabara ikiwa finyu na magari teyari ni mengi na siku zijazo barabara itahitajika kupanuliwa.

Ukiangalia, ni wazi watakuwa wamejenga nje ya hifadhi ya barabara(kwa nchi yetu, kinyume chake pia inawezekanaila). Hata hivyo, ni ukweli pia ile barabara sasa inaanza kuwa nyembamba kutokana na ongezeko la magari huku mji ukiwa unapanuka na teyari foleni Dodoma zimeanza.

Hivyo, kwa mtazamo wangu, miaka 10 ijayo(pengine kabla hata ya hio miaka 10), barabara hii itahitajika kupanuliwa, na sehemu ya hilo Jengo sambamba na majengo mengine, yatalazimika kubomolewa kama ilivyokuwa kwa Jengo la TANESCO pale Ubungo, Dar-es-Salaam.

Time will tell.
Hakuna tatizo, watalipwa likibomolewa. Si walipewa vibali halali vya kujenga.

Hivi Dodoma hakuna "master plan" ya jiji?
 
Huu ni mtazamo kulingana na ukweli kuwa, Jengo hili kubwa na zuri, limejengwa pembezeni mwa barabara inayoingia mijini Dodoma (katika ya mji) huku barabara ikiwa finyu na magari teyari ni mengi na siku zijazo barabara itahitajika kupanuliwa.

Ukiangalia, ni wazi watakuwa wamejenga nje ya hifadhi ya barabara(kwa nchi yetu, kinyume chake pia inawezekanaila). Hata hivyo, ni ukweli pia ile barabara sasa inaanza kuwa nyembamba kutokana na ongezeko la magari huku mji ukiwa unapanuka na teyari foleni Dodoma zimeanza.

Hivyo, kwa mtazamo wangu, miaka 10 ijayo(pengine kabla hata ya hio miaka 10), barabara hii itahitajika kupanuliwa, na sehemu ya hilo Jengo sambamba na majengo mengine, yatalazimika kubomolewa kama ilivyokuwa kwa Jengo la TANESCO pale Ubungo, Dar-es-Salaam.

Time will tell.
Naomba niwe sehemu ya unabii huu
 
Back
Top Bottom