Hatima ya Jengo la kiuchumi la kanisa la Anglican(SAFINA HOUSE) mjini Dodoma, inaweza kuwa kama ya Jengo la TANESCO pale Ubungo, Dar-es-Salaam

Anglikana ndio Wenye Jiji la Dodoma

Mara kwa mara Askofu mkuu wa Canterbury hufika Dodoma kwa Washauri wake mzee Malecela, mzee Ndugai na Prof Kabudi
Oooh kumbe, nilifikiri ni jiji la Watanzania.
 
Na mama katuzidi ujanja anamtawala baba.

Hivi mkataba huo unakwisha lini?
Sisi Wakristo Ndoa ni ya mke Mmoja na ikishafungwa mnakuwa Kitu kimoja hadi kifo kiwatenganishe

Kwahiyo hatuombei ya Hawaii yaikute Ndoa hii 😂😂🔥
 
Sisi Wakristo Ndoa ni ya mke Mmoja na ikishafungwa mnakuwa Kitu kimoja hadi kifo kiwatenganishe

Kwahiyo hatuombei ya Hawaii yaikute Ndoa hii 😂😂🔥
Inabidi ustahamili mama amtawale baba. Au una kingine cha kufanya?
 
Inabidi ustahamili mama amtawale baba. Au una kingine cha kufanya?
Ndoa za mitala huko Afghanistan ndio wanandoa wanatawalana

Tanzania Ndoa ni za kigalatia tupu 😂😂🔥 kama unabisha Waulize Marope family au akina Musa wa Teknolojia 😂
 
Hakuna tatizo, watalipwa likibomolewa. Si walipewa vibali halali vya kujenga.

Hivi Dodoma hakuna "master plan" ya jiji?
Unajisikiaje kuona kanisa linajenga jengo kubwa kama hilo. Tupe ya moyoni nafsi yako inajisikiaje 😀
 
Wapi kapicha maana wengine tuko huku mnerumango kwa chini chini pembezoni..........
 
Ungeweka hata kapicha au ramani kwa sisi wa Muleba tusiojua Dodoma tuone
 
Maafsa mipango miji wetu ni vipofu sioni sababu ya kuwasifia.
 
Pana yesu pale wakigusa ndiyo mwisho wao wa kuishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…