Mpigamimba
Senior Member
- Nov 26, 2022
- 198
- 237
Mustakabali wa shule zilizofutiwa ni upi Msaada kwa mwenye taarifa za BARAZA LA mitihani Tanzania (NECTA)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kama ana mtoto aliyesoma huko kulikofutiwa matokeo.!??Unamiliki shule na huna connection ya kujua vijqmbo vidogovidogo kama hivi?
Ngoja waje kukupa muongozo
Tetesi ni kuwa watoto watafanya mitihani tena kwa tarehe zitakazo elekezwa tetesi.Vipi kama ana mtoto aliyesoma huko kulikofutiwa matokeo.!??
Muandae mwanao atapiga pepa tena halafu muache kupeleka watoto shule za hivyo kisa ufaulu wao huwa ni wajuu sanaVipi kama ana mtoto aliyesoma huko kulikofutiwa matokeo.!??
Usisahau zipo shule za hivyo ambazo hazijafutiwa matokeo..!!Muandae mwanao atapiga pepa tena halafu muache kupeleka watoto shule za hivyo kisa ufaulu wao huwa ni wajuu sana
Wameiba kiprofeshno 😁😁 zilizo futiwa itakuwa kuna vitoto pamoja na kupewa majibu vili enda kutangaza mtaani Daddy anko mamii antii walitupa majibu ya mitihani😁😁😁Usisahau zipo shule za hivyo ambazo hazijafutiwa matokeo..!!
Sio tetesi, watafanya mitihani tarehe 21 na 22 mwezi disemba 2022.Tetesi ni kuwa watoto watafanya mitihani tena kwa tarehe zitakazo elekezwa tetesi.
Mustakabali wa shule zilizofutiwa ni upi Msaada kwa mwenye taarifa za BARAZA LA mitihani Tanzania (NECTA)
Tuzingatie na tujadili matumizi ya neno ITAKUWA kwenye post yako..!!Wameiba kiprofeshno 😁😁 zilizo futiwa itakuwa kuna vitoto pamoja na kupewa majibu vili enda kutangaza mtaani Daddy anko mamii antii walitupa majibu ya mitihani😁😁😁
Shule zipi hizo? zitaje?Mustakabali wa shule zilizofutiwa ni upi Msaada kwa mwenye taarifa za BARAZA LA mitihani Tanzania (NECTA)
Nimezingatia matumizi ya neno itakuwa. Hakuna sehemu sijazingatia.Tuzingatie na tujadili matumizi ya neno ITAKUWA kwenye post yako..!!
Matumizi ya neno itakuwa yanat8kana na kutokuwa na uhakika na kisemwacho. Inaweza ikawa uzushi tu. KwNi waliotoa taarifa ya kufutwa matokeo hawakutoa sababu ya/za matokeo kufutwa?
Ahahahahaa...!! Haya nami nazingatia hivyo..!!Nimezingatia matumizi ya neno itakuwa. Hakuna sehemu sijazingatia.
Mustakabali wa shule zilizofutiwa ni upi Msaada kwa mwenye taarifa za BARAZA LA mitihani Tanzania (NECTA)
Sio tetesi. Ni kweli NECTA wamethibitisha. Mhusika acheki website yao. Ni tarehe za late December.Tetesi ni kuwa watoto watafanya mitihani tena kwa tarehe zitakazo elekezwa tetesi.
Siyo tetesi bali ni rasmi ,watoto watafanya mtihani tarehe 21 na 22 December 2022.Kama shule yako imefungiwa watoto wamepangiwa shule za jirani,kama haijafungiwa wanarudia mtihani shule hapo hapo.Tetesi ni kuwa watoto watafanya mitihani tena kwa tarehe zitakazo elekezwa tetesi.