Hatima ya Unafiki na Uwongo Katika siasa!

Hatima ya Unafiki na Uwongo Katika siasa!

TL. Marandu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
3,625
Reaction score
5,810
Kuna Baadhi ya Wanasiasa Walisikitisha sana Hatima yao, Nitawataja wawili ambao Visa Vyao Nimevifuatilia Kwa Undani Hasa. Kuna Rais aliyefikia Mauti Kwa Njia ya Kinyama kabisa wa Taifa La Liberia aliyeitwa Samuel Doe, Huyu aliingia Madarakani Kwa Kupindua Serikali, Kisha siku chache akasindika Nguzo baharini na akawapiga Risasi Viongozi wa serikali iliyopinduliwa Akidai ni Mafisadi na walitawala kwa Kiimla.

Cha Kushangaza, Miaka chini ya sita baadaye na yeye akawa Fisadi wa Kutisha na akatawala kwa Mabavu zaidi ya waliomtangulia, Wahasimu wake wawili Charles Taylor na Prince Johnson Lendawazimu sana, Wakaanzisha Vita vya Uasi na Mwishowe kwa Kusalitiwa na Mkuu wa Majeshi wa UN, Samuel Doe akatekwa, na akafikiwa na Mauti ya fedheha Kuliko alivyowaua wapinzani wake. Hakuna haja ya Kueleza ila Dunia Nzima inajua yaliyomfika.

Aliwapiga risasi Viongozi wa Serikali Mbele ya Halaiki.


Hapa Doe Akiwa Metekwa Kutoka Kambi ya UN na Kuletwa Kambi ya Prince Johnson, Hapa wanamvua Nguo, Kumchoma Visu na Kumkata Masikio! (Alistahili kwa Kuwa hakujali wengine)


Hapa Johnson Ameshamkata Masikio, amemkabidhi kwa askari wake Waendelee Kumtesa na Kumwagia Mikojo huku wakimhoji na Kumtusi, (Doe alistahili kwa Kuwa alifurahia mateso ya wengine)


Hapa Wakiwa wameshamuua Wakianza Safari ya Kumzungusha Mji Mzima wa Monrovia

0000259407-004-jpg.jpeg

Na Yeye akauawa na Kuburuzwa Kwenye Kitoroli Mji Mzima wa Monrovia.

Wakati wakimzungusha Mitaani Baadhi wakaamua Wamnyoe Nywele zake na Kisha Kumkata Uume wake. Akawa Kioja mbele za watu wote (Kipimo Unachopimia Wengine ndicho utakachopimiwa)
Ukiwa Unadhambi Jipime sana Kabla Hujarushia Mawe, Kuhukumu wadhambi wengine. (Not sitetei Mafisadi, I don't care, Naonya Tu Juu ya UNAFIKI)

Hapo Jirani Na Tanzania Kulikuwepo Na Mbunge na Waziri Mmoja Miaka ya 70, Mbunge huyu wa Nchini Kenya alijulikana kwa Jina Maarufu kama JM. Kariuki, au Josiah Mwangi Kariuki. Huyu alikuwa akifanya siasa za Kujihusisha sana na Wanyonge, akitetea Masikini, akiwashutumu Viongozi wengine Kuwa Ni Mafisadi, akamshutumu mpaka Rais wake Mzee Jomo Kenyatta. Lakini ambacho Wakenya wengi walikuwa hawajui, JM Kariuki alikuwa Mwenyewe Ni Mwizi, Fisadi, Mbadhilifu na Mshiriki katika Uporaji wa Ardhi na Mashamba. Sasa Kwa Kuwa Viongozi Wenzake walimjua, kuwapaka matope alikowapaka matope bila yeye kuwa Msafi Kuliwapa kinyaa na Hasira Kubwa sana dhidi yake, Basi Siku Moja wakamwita Katika Ofisi Kuu ya Upelelezi wakampiga sana na Kumpiga risasi na hatimaye wakaenda Kutupa Mwili wake Katika Msitu wa Kishetani, Msitu wa Ngong, Msitu wa Ngong Kenya Ni Msitu wanakotupwa watu wanaouawa Kinyama Kama Ilivyo Msitu wa Mwabepande Tanzania.

_81550066_03_funeral.jpg


Utajiri wa Kariuki huu hapa!

JM Kariuki’s widows agree on sharing wealth


Naeleza Haya Yote Nikitoa Wito Kwa Viongozi wetu Kuwa, Wajiepushe Kuwa Wanafiki na Wachafu, Kama Wameamua Kujitolea Kusafisha Uchafu wa Nchi! Na wafanye haki Katika yote, sio Ujanja Ujanja, Kwani Kuiba haki na Uhuru wa watu Pia Ni sawa na Fisadi anayeiba fedha za watu hao hao, wote ni Waovu! FISADI NA MWONEVU, FISADI NA MNAFIKI, FISADI NA DICTATOR Wote Ni Sawa, WAOVU!
 
c9749-2.jpg

Doe Akiwa Na Regan, Rais wa Marekani alijua Dunia Ni Kistuli chake cha Kuwekea Miguu na Mawingu ndicho Kiti chake, asijue ipo siku Nomano yake italazwa kwenye toroli na Kuzungushwa Kwenye Mitaa ya Monrovia Ikiwa imekatwa Viungo Visivyosemeka! Ukiwa Mtu Usijikweze Mtu ni Mtu tu!
63868072.jpg
 
lakini hiyo story inaweza kuja kujiludia ×2 kwahiyo viongozi wa afrika wajiangalie sana hatujui kesho itakuwa kwa nani kwa7bu wanasiasa ni watu wanafiki sana.
 
Unafiki wa Kisiasa Unaoendelea hapa Nchini, Utakuja Kuleta Majuto makuwa ama kwa baadhi ya watu na Mbaya zaidi kwa Taifa zima. Nianze kwa Kutoa mfano wa siku za miaka ya nyuma kidogo. Kuna Baadhi ya Wanasiasa Walisikitisha sana Hatima yao, Nitawataja wawili ambao Visa Vyao Nimevifuatilia Kwa Undani Hasa. Kuna Rais aliyefikia Mauti Kwa Njia ya Kinyama kabisa wa Taifa La Liberia aliyeitwa Samuel Doe, Huyu aliingia Madarakani Kwa Kupindua Serikali, Kisha siku chache akasindika Nguzo baharini na akawapiga Risasi Viongozi wa serikali iliyopinduliwa Akidai ni Mafisadi na walitawala kwa Kiimla.

Cha Kushangaza, Miaka chini ya sita baadaye na yeye akawa Fisadi wa Kutisha na akatawala kwa Mabavu zaidi ya waliomtangulia, Wahasimu wake wawili Charles Taylor na Prince Johnson Lendawazimu sana, Wakaanzisha Vita vya Uasi na Mwishowe kwa Kusalitiwa na Mkuu wa Majeshi wa UN, Samuel Doe akatekwa, na akafikiwa na Mauti ya fedheha Kuliko alivyowaua wapinzani wake. Hakuna haja ya Kueleza ila Dunia Nzima inajua yaliyomfika.

Aliwapiga risasi Viongozi wa Serikali Mbele ya Halaiki.


Hapa Doe Akiwa Metekwa Kutoka Kambi ya UN na Kuletwa Kambi ya Prince Johnson, Hapa wanamvua Nguo, Kumchoma Visu na Kumkata Masikio! (Alistahili kwa Kuwa hakujali wengine)

Hapa Johnson Ameshamkata Masikio, amemkabidhi kwa askari wake Waendelee Kumtesa na Kumwagia Mikojo huku wakimhoji na Kumtusi, (Doe alistahili kwa Kuwa alifurahia mateso ya wengine)


Hapa Wakiwa wameshamuua Wakianza Safari ya Kumzungusha Mji Mzima wa Monrovia

0000259407-004-jpg.jpeg

Na Yeye akauawa na Kuburuzwa Kwenye Kitoroli Mji Mzima wa Monrovia.

Wakati wakimzungusha Mitaani Baadhi wakaamua Wamnyoe Nywele zake na Kisha Kumkata Uume wake. Akawa Kioja mbele za watu wote (Kipimo Unachopimia Wengine ndicho utakachopimiwa)
Ukiwa Unadhambi Jipime sana Kabla Hujarushia Mawe, Kuhukumu wadhambi wengine. (Not sitetei Mafisadi, I don't care, Naonya Tu Juu ya UNAFIKI)

Hapo Jirani Na Tanzania Kulikuwepo Na Mbunge na Waziri Mmoja Miaka ya 70, Mbunge huyu wa Nchini Kenya alijulikana kwa Jina Maarufu kama JM. Kariuki, au Josiah Mwangi Kariuki. Huyu alikuwa akifanya siasa za Kujihusisha sana na Wanyonge, akitetea Masikini, akiwashutumu Viongozi wengine Kuwa Ni Mafisadi, akamshutumu mpaka Rais wake Mzee Jomo Kenyatta. Lakini ambacho Wakenya wengi walikuwa hawajui, JM Kariuki alikuwa Mwenyewe Ni Mwizi, Fisadi, Mbadhilifu na Mshiriki katika Uporaji wa Ardhi na Mashamba. Sasa Kwa Kuwa Viongozi Wenzake walimjua, kuwapaka matope alikowapaka matope bila yeye kuwa Msafi Kuliwapa kinyaa na Hasira Kubwa sana dhidi yake, Basi Siku Moja wakamwita Katika Ofisi Kuu ya Upelelezi wakampiga sana na Kumpiga risasi na hatimaye wakaenda Kutupa Mwili wake Katika Msitu wa Kishetani, Msitu wa Ngong, Msitu wa Ngong Kenya Ni Msitu wanakotupwa watu wanaouawa Kinyama Kama Ilivyo Msitu wa Mwabepande Tanzania.

_81550066_03_funeral.jpg


Utajiri wa Kariuki huu hapa!

JM Kariuki’s widows agree on sharing wealth


Naeleza Haya Yote Nikitoa Wito Kwa Viongozi wetu Kuwa, Wajiepushe Kuwa Wanafiki na Wachafu, Kama Wameamua Kujitolea Kusafisha Uchafu wa Nchi! Na wafanye haki Katika yote, sio Ujanja Ujanja, Kwani Kuiba haki na Uhuru wa watu Pia Ni sawa na Fisadi anayeiba fedha za watu hao hao, wote ni Waovu! FISADI NA MWONEVU, FISADI NA MNAFIKI, FISADI NA DICTATOR Wote Ni Sawa, WAOVU!
 
Huwa nashanga sana bado viongozi wa ki africa hawajifunzi kupitia kwa watawala waliyopita.
Samuel doe alikuwa mmbabe lakini mwisho wa siku aliuwawa kama mnyama...
Lakini ninacho elewa ni ya kuwa "Ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga"

Ova
 
Wenye macho na wasome,wenye akili waufanyie kazi. Ujumbe umefika mahali na wakati mwafaka kabla mambo hayajaharibika.
 
HUWA NASHANGA SANA BADO VIONGOZI WA KI AFRICA HAWAJIFUNZI KUPITIA KWA WATAWALA WALIYOPITA.
SAMUEL DOE ALIKUWA MMBABE LAKINI MWISHO WA SIKU ALIUWAWA KAMA MNYAMA...
LAKINI NINACHO ELEWA NI YA KUWA "UKIISHI KWA UPANGA UTAKUFA KWA UPANGA"

OVA

Na majuzi tuu hapa tumeona jinsi Bless Compaore wa Burkinafaso alivyoikimbia Nchi pamoja na Majeshi yote kuwa chini yake.
 
Mkuu Mods waliweka hilo bandiko lako kwenye jukwaa la historia kwa sababu hao watu unaowataja wote kwa sasa ni historia.

Johnson na, Charles Taylor ambae yupo jela ni "war lords" na raisi Magufuli si "war lord"

Sasa Samuel Doe, Charles Taylor na Johnson wote walikuwa ni waasi, na huyo Marehemu Josia Mwangi nae alikuwa ni Mbunge wa huko Kenya.

Marehemu Kairuki mpaka sasa anajulikana kama ni shujaa nchini humo kwani pamoja na kushiriki vita vyote vya maumau, baadae marehemu Jomo Kenyatta alikuja kupewa fungu la fedha kutoka Uingereza ili awarudishie ardhi wazungu walowezi halafu ardhi hiyo awape wananchi wazawa.

Lakini marehemu Kenyatta alikula fedha hiyo yeye na rafiki zake na wananchi hawakuwahi kuona fedha hiyo.

Baadae marehemu Kenyatta akajarbu kila njia kujaribu kumnyamazisha Kairuki mpaka mauti yalipomkuta.

Hiyo link uliyoiweka hapo inaelezea sheria ya urithi ambayo sasa inaruhusu mali zake kugawanywa baina ya wake zake watatu kwani wakati marehemu Kairuki anauwawa hakukuwepo sheria hiyo.

Lakini haionyeshi mahali popote kusema aliiba mali hiyo au aliipata kifisadi.

Kinachokufanya uhusishe matukio ya hawa watu watatu na waliyoyafanya, na raisi Magufuli ni kitu gani?
 
Weka link tena iyo video ya pili
Maana nimeangalia ya tatu jamaa balaa kakatwa masikio yote na bado ana nguvu ya kuongea
 
Mkuu Mods waliweka hilo bandiko lako kwenye jukwaa la historia kwa sababu hao watu unaowataja wote kwa sasa ni historia.

Johnson na, Charles Taylor ambae yupo jela ni "war lords" na raisi Magufuli si "war lord"

Sasa Samuel Doe, Charles Taylor na Johnson wote walikuwa ni waasi, na huyo Marehemu Josia Mwangi nae alikuwa ni Mbunge wa huko Kenya.

Marehemu Kairuki mpaka sasa anajulikana kama ni shujaa nchini humo kwani pamoja na kushiriki vita vyote vya maumau, baadae marehemu Jomo Kenyatta alikuja kupewa fungu la fedha kutoka Uingereza ili awarudishie ardhi wazungu walowezi halafu ardhi hiyo awape wananchi wazawa.

Lakini marehemu Kenyatta alikula fedha hiyo yeye na rafiki zake na wananchi hawakuwahi kuona fedha hiyo.

Baadae marehemu Kenyatta akajarbu kila njia kujaribu kumnyamazisha Kairuki mpaka mauti yalipomkuta.

Hiyo link uliyoiweka hapo inaelezea sheria ya urithi ambayo sasa inaruhusu mali zake kugawanywa baina ya wake zake watatu kwani wakati marehemu Kairuki anauwawa hakukuwepo sheria hiyo.

Lakini haionyeshi mahali popote kusema aliiba mali hiyo au aliipata kifisadi.

Kinachokufanya uhusishe matukio ya hawa watu watatu na waliyoyafanya, na raisi Magufuli ni kitu gani?
Kariuki alikuwa Mwizi, na Fisadi Mkubwa sana, Nitakupa Ref. Hapo chini, Lakini Nikuulize, Je Unaweza Kunionyesha Nikimtaja Magufuli? Kumbe wewe mwenyewe Umechora Picha Ukamwona! kwenye Mada yangu basi Hongera Lisemwalo lipo!

Ufisadi wa JM Kariuki
Tafuta Kitabu Hiki, Ni Bei Mbaya Lakini $ 300 hivi
51lmeuIGFzL._SX327_BO1,204,203,200_.jpg


Ningekupa Copy yangu, Lakini, Vitabu vyangu Viliungulia Kwenye Nyumba yangu Iliyoungua 2012 Dec. 22 na Kuunguza Kila Kitu Ikiwa ni Pamoja na Magari yangu Mawili. Ila sasa Kila Kitu Kiko Vizuri.
 
Back
Top Bottom