Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Video ya pili na ya tatu imegoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji13]Dawa yao vitoroli tu
Pole mkuuKariuki alikuwa Mwizi, na Fisadi Mkubwa sana, Nitakupa Ref. Hapo chini, Lakini Nikuulize, Je Unaweza Kunionyesha Nikimtaja Magufuli? Kumbe wewe mwenyewe Umechora Picha Ukamwona! kwenye Mada yangu basi Hongera Lisemwalo lipo!
Ufisadi wa JM Kariuki
Tafuta Kitabu Hiki, Ni Bei Mbaya Lakini $ 300 hivi
![]()
Ningekupa Copy yangu, Lakini, Vitabu vyangu Viliungulia Kwenye Nyumba yangu Iliyoungua 2012 Dec. 22 na Kuunguza Kila Kitu Ikiwa ni Pamoja na Magari yangu Mawili. Ila sasa Kila Kitu Kiko Vizuri.
Mkuu wanasema ukisikia paaa... UjueKariuki alikuwa Mwizi, na Fisadi Mkubwa sana, Nitakupa Ref. Hapo chini, Lakini Nikuulize, Je Unaweza Kunionyesha Nikimtaja Magufuli? Kumbe wewe mwenyewe Umechora Picha Ukamwona! kwenye Mada yangu basi Hongera Lisemwalo lipo!
Ufisadi wa JM Kariuki
Tafuta Kitabu Hiki, Ni Bei Mbaya Lakini $ 300 hivi
![]()
Ningekupa Copy yangu, Lakini, Vitabu vyangu Viliungulia Kwenye Nyumba yangu Iliyoungua 2012 Dec. 22 na Kuunguza Kila Kitu Ikiwa ni Pamoja na Magari yangu Mawili. Ila sasa Kila Kitu Kiko Vizuri.
Tumetoka sana kwenye madaUsiwasahau wale wahamasishaji wa maandamano,siku nyumbu wakijitambua....
Pia kuna huyu mwanasiasa anayejiita Mbowe, yaani baada ya kutuaminisha kuwa Lowassa ni fisadi kwa takriban miaka nane aliamua kubadili gea angani na kumkumbatia. Na kama haitoshi sasa anahamasisha vurugu kupitia operesheni anayoiita Ukuta. Nami natoa wito kwa Mbowe ajiepushe kuwa mnafiki na mchafu kama ameamua kujitolea kusafisha uchafu wa nchi....
Naeleza Haya Yote Nikitoa Wito Kwa Viongozi wetu Kuwa, Wajiepushe Kuwa Wanafiki na Wachafu, Kama Wameamua Kujitolea Kusafisha Uchafu wa Nchi! Na wafanye haki Katika yote, sio Ujanja Ujanja, Kwani Kuiba haki na Uhuru wa watu Pia Ni sawa na Fisadi anayeiba fedha za watu hao hao, wote ni Waovu! FISADI NA MWONEVU, FISADI NA MNAFIKI, FISADI NA DICTATOR Wote Ni Sawa, WAOVU!
AaaminaNi somo zuri kwa viongozi wetu! Mwenye masikio na asikie
Gaddafi alikuwa anatoa yote hayo na Zaidi lakini mwisho wake ilikuaje?Wewe ni Mchochezi zaidi ya wachochezi wenyewe! Unayajua yaliyokuwa yanafanyika huko>
1. Walikuwa wanahamasisha elimu bure?
2. Walikuwa wanahamasisha kubnoresha huduma ikiwa pamoja na afya, maji umeme nk?
3. Walikuwa wanahamashihsa ukusanyaji wa kodi kwa ajili ya maendeleo ya wananchi.
Hebu acheni ujinga kufananisha vitu viwili vilivyo tofauti! Nlizoea ulaji wa bila kumwah=ga jasho hapana imetosha kila mtu apate mali kwa haki poleni sana!
Umeona ee. Wananchi wakadangwanywa sasa wanajuta, Syria na Misri Hivyohivyo!. Watanzania tusikubali kudanganywa na mafisadi. Asante sana kwa kunikumbusha Mkuu. Watu hawajitambui!Gaddafi alikuwa anatoa yote hayo na Zaidi lakini mwisho wake ilikuaje?
Nimejificha Kwa shemeji? Unachekesha, Naona Unapicha ya Kijana Mdogo ambaye Dunia Haijui Kuwa Ni duara au ni meza. Mimi Ni Mtu Mzima, Nina Nyumbani Kwangu Marekani, Lakini Ninafanya kazi za Ukondorasi wa Mitambo ya Umeme wa Viwanda Dunia Muzima. Zaidi Visima vya mafuta vya Caspian seas, Na Mimi Sio Mtoto Ni Mtu Mzima na Nakimbilia Miaka hamsini, Sasa Ukisukumana na Mimi Utaumia au Kupata Laana Bure, n Hey Huwa Mimi Sitishiki Nakusamehe kwa hilo!KUNA SIKU UTACHOMOLEWA TU HUKO UNAKOJIFICHA. UNAJIFANYA KUANDIKA HAPA NCHINI WAKATI UMEJIFICHA KWA SHEMEJI YAKO MAREKANI NA UMECHUKUA URAIA WA KIKARATASI!!
KAMA NI RAIA WA MAREKANI ACHA UCHOCHEZI BASI MAANA MAMBO YA NCHI YETU WEWE HAYAKUHUSU!!Nimejificha Kwa shemeji? Unachekesha, Naona Unapicha ya Kijana Mdogo ambaye Dunia Haijui Kuwa Ni duara au ni meza. Mimi Ni Mtu Mzima, Nina Nyumbani Kwangu Marekani, Lakini Ninafanya kazi za Ukondorasi wa Mitambo ya Umeme wa Viwanda Dunia Muzima. Zaidi Visima vya mafuta vya Caspian seas, Na Mimi Sio Mtoto Ni Mtu Mzima na Nakimbilia Miaka hamsini, Sasa Ukisukumana na Mimi Utaumia au Kupata Laana Bure, n Hey Huwa Mimi Sitishiki Nakusamehe kwa hilo!