2020 Maybatch sedan price $203,545 vs 2020 Toyota century price $210,500.Its a matter of time. 1950s it was a high end car but since muda umepata its now a vintage car.
Naomba link ya hiyo Toyota century yenye price tag ya USD 210,500.2020 Maybatch sedan price $203,545 vs 2020 Toyota century price $210,500.
Naomba link ya hiyo Toyota century yenye price tag ya USD 210,500.
Hii gari price tag yake ni $180k for the sake of time lets leave the price at $210k. I'll counter na hii mercedes-maybach G 650 landaulet v12.
Inajulikana wazi hapo unalinganisha Ultra luxury Cars Co vs Toyota, lkn nimetaka nikuonyeshe tu hata huko Toyota kuna gari hizo za mpk $400,000 kama ilivyo huko maybatch na other luxury brands though it'sn't their niche.Hii gari price tag yake ni $180k for the sake of time lets leave the price at $210k. I'll counter na hii mercedes-maybach G 650 landaulet v12.
Hiyo Toyota century ni exclusive model imetengezwa kwa ajili ya imperial monarchy ya Japan na VIPs kwahiyo its fair kusema ina fall kwenye category ya luxury cars. Ukweli utabaki palepale huwezi kufananisha Toyota na Benz.Inajulikana wazi hapo unalinganisha Ultra luxury Cars Co vs Toyota, lkn nimetaka nikuonyeshe tu hata huko Toyota kuna gari hizo za mpk $400,000 kama ilivyo huko maybatch na other luxury brands though it'sn't their niche.
Mercedes Benz W196.
Mercedes Benz W196.
Hiyo Toyota century ni exclusive model imetengezwa kwa ajili ya imperial monarchy ya Japan na VIPs kwahiyo its fair kusema ina fall kwenye category ya luxury cars. Ukweli utabaki palepale huwezi kufananisha Toyota na Benz.
Check options nilizompa.Hii ni vintage car mkuu na imeuzwa kupitia mfumo wa mnada “auction “ leta gari ambayo price yake iwe from factory achana na vintage car
Sent from my iPhone using JamiiForums
Check option niliompa halafu mlete gari ya Toyota yenye price tag yake.🤣[emoji28][emoji28] wewe wasema lakini zipo nyingi tu za kufanana nazo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Check option niliompa halafu mlete gari ya Toyota yenye price tag yake.
View attachment 1431932
Unakuta mtu ana hii bmw lakin anajidanganya kuwa gari yake ina bei kuliko hata crown wakat crown ya mwaka unaofana ina bei zaid
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hiyo Toyota century ni exclusive model imetengezwa kwa ajili ya imperial monarchy ya Japan na VIPs kwahiyo its fair kusema ina fall kwenye category ya luxury cars. Ukweli utabaki palepale huwezi kufananisha Toyota na Benz.
View attachment 1431932
Unakuta mtu ana hii bmw lakin anajidanganya kuwa gari yake ina bei kuliko hata crown wakat crown ya mwaka unaofana ina bei zaid
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ukimleta kwny hizo used bimmer 3/5/7 series na benz C/E/S class hizo kwa price za toyota used za same class,toyota inamkalisha mapema saaana.
Hayo mambo ni ya kukariri tu na anatakiwa ajue Tz hii ukikuta nyumba inamiliki gari za mjerumani lazima ndani ya nyumba hio utakuta na Toyota ipo,ajiulize kwanini.Sana yaan nimemletea hiyo kwasabab kashindwa kunipa mfano wa gari za bmw
Tatizo lake alikosea kusema kuwa waTz maskini ndo maana wanamiliki Toyota
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sisi tunaonunua used used halafu tunaita mpya tutaanza kuipata lini?Naweza kusema Toyota ameanza kurudi kwenye mstari wa kutengeneza vyombo vya uhakika baada ya kutoka kutufyatulia uchafu kadhaa kati ya miaka 2012-2017 hapo.
Wale designer wa gari ambazo hazitazamiki nadhani watakuwa wameshapangiwa kazi nyingine mpaka sasa kama sio kuwa fired kabisa. Kuna mabadiliko makubwa katika muonekano wa gari za Toyota za sasa.
Hatimae 2019 tu design mpya ya RAV 4 ambayo imekaa kiume binafsi nimeielewa sana na naweza kuhamia katika hio brand panapo majaliwa. RAV 4 nilikua sizikubali kabisa licha ya fuel economy ila shepu yake ya kike ilikuwa inanikera hata hazipimpiki yani.
Ichekini 2019 Rav 4 hapa.