Hatimae 2019 RAV 4 imepata muonekano mpya wa kiume

Hii gari price tag yake ni $180k for the sake of time lets leave the price at $210k. I'll counter na hii mercedes-maybach G 650 landaulet v12.
Inajulikana wazi hapo unalinganisha Ultra luxury Cars Co vs Toyota, lkn nimetaka nikuonyeshe tu hata huko Toyota kuna gari hizo za mpk $400,000 kama ilivyo huko maybatch na other luxury brands though it'sn't their niche.
 
Inajulikana wazi hapo unalinganisha Ultra luxury Cars Co vs Toyota, lkn nimetaka nikuonyeshe tu hata huko Toyota kuna gari hizo za mpk $400,000 kama ilivyo huko maybatch na other luxury brands though it'sn't their niche.
Hiyo Toyota century ni exclusive model imetengezwa kwa ajili ya imperial monarchy ya Japan na VIPs kwahiyo its fair kusema ina fall kwenye category ya luxury cars. Ukweli utabaki palepale huwezi kufananisha Toyota na Benz.
 
Hiyo Toyota century ni exclusive model imetengezwa kwa ajili ya imperial monarchy ya Japan na VIPs kwahiyo its fair kusema ina fall kwenye category ya luxury cars. Ukweli utabaki palepale huwezi kufananisha Toyota na Benz.

🤣[emoji28][emoji28] wewe wasema lakini zipo nyingi tu za kufanana nazo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Unakuta mtu ana hii bmw lakin anajidanganya kuwa gari yake ina bei kuliko hata crown wakat crown ya mwaka unaofana ina bei zaid


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hiyo Toyota century ni exclusive model imetengezwa kwa ajili ya imperial monarchy ya Japan na VIPs kwahiyo its fair kusema ina fall kwenye category ya luxury cars. Ukweli utabaki palepale huwezi kufananisha Toyota na Benz.

Kwa hio ikitengenezwa kwa ajili ya imperials ndio haiuzwi kwa wateja wengine sio?

Na lexus LFA inayouzwa $400,000 yenyewe ilitengenezwa kwa ajili ya imperial monarch wa wapi?
 
View attachment 1431932
Unakuta mtu ana hii bmw lakin anajidanganya kuwa gari yake ina bei kuliko hata crown wakat crown ya mwaka unaofana ina bei zaid


Sent from my iPhone using JamiiForums

Ukimleta kwny hizo used bimmer 3/5/7 series na benz C/E/S class hizo kwa price za toyota used za same class,toyota inamkalisha Mjerumani mapema saaana.
 
Ukimleta kwny hizo used bimmer 3/5/7 series na benz C/E/S class hizo kwa price za toyota used za same class,toyota inamkalisha mapema saaana.

Sana yaan nimemletea hiyo kwasabab kashindwa kunipa mfano wa gari za bmw

Tatizo lake alikosea kusema kuwa waTz maskini ndo maana wanamiliki Toyota


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sana yaan nimemletea hiyo kwasabab kashindwa kunipa mfano wa gari za bmw

Tatizo lake alikosea kusema kuwa waTz maskini ndo maana wanamiliki Toyota


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hayo mambo ni ya kukariri tu na anatakiwa ajue Tz hii ukikuta nyumba inamiliki gari za mjerumani lazima ndani ya nyumba hio utakuta na Toyota ipo,ajiulize kwanini.
 
Sisi tunaonunua used used halafu tunaita mpya tutaanza kuipata lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…