Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Nimesema imperial monarchy na VIPs, tena nimechukua hizi info toka kwenye link uliyotuma. Hata hivyo bado haijafuta hoja yangu huwezi kufananisha Toyota na Benz na nimekuomba unitumie gari yenye price tag kama mercedes-maybach G 650 landaulet v12. Naomba tupunguze siasa, wewe weka gari la Toyota lenye bei ya sawa kama ulivyokuwa unafanya mwanzoni. Mbona tulikuwa tunaenda vizuri tu. Unakwama wapi?Kwa hio ikitengenezwa kwa ajili ya imperials ndio haiuzwi kwa wateja wengine sio?
Na lexus LFA inayouzwa $400,000 yenyewe ilitengenezwa kwa ajili ya imperial monarch wa wapi?
Mifano yako yote ni hovyo. Fuatilia mazungumzo yangu na mng'ato.Ngoja nikupe mfano wa kibongobongo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mifano yako yote ni hovyo. Fuatilia mazungumzo yangu na mng'ato.
Nimesema imperial monarchy na VIPs, tena nimechukua hizi info toka kwenye link uliyotuma. Hata hivyo bado haijafuta hoja yangu huwezi kufananisha Toyota na Benz na nimekuomba unitumie gari yenye price tag kama mercedes-maybach G 650 landaulet v12. Naomba tupunguze siasa, wewe weka gari la Toyota lenye bei ya sawa kama ulivyokuwa unafanya mwanzoni. Mbona tulikuwa tunaenda vizuri tu. Unakwama wapi?
We ndo mfano wako wa hovyo 🤣🤣🤣🤣 we unatuletea mfano wa vintage car 🤣🤣🤣🤣🤣 hivi hujui kuwa kwenye auction hata baiskeli inaweza kuuzwa milioni 200 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Shame on you [emoji28]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwanza siyo kila brand zina vintage cars zinazoweza kuwa na price tag kubwa.We ndo mfano wako wa hovyo 🤣🤣🤣🤣 we unatuletea mfano wa vintage car 🤣🤣🤣🤣🤣 hivi hujui kuwa kwenye auction hata baiskeli inaweza kuuzwa milioni 200 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Shame on you [emoji28]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Bado so far umekuja na Toyota cresta.Naona umeshasahau swali lako la msingi.
'Je kuna Toyota ina bei sawa na high end BMW au Benz achana na hizi E/A-class na old models.'
Hilo swali halikujibiwa?
Bado so far umekuja na Toyota cresta.
Kama ni hivyo,ni kwa nini racing cars huwa wanaweka yale machuma(skeleton) kuzunguka seheme ya dereva ili ikianguka isibonyee?Nimebahatika kusoma maswala ya safety katika magari mara kadhaa. Ipo hivi, body la gari halitakiwi kuwa gumu sana (rigid) kama ambavo ww unafikiria kwa ajili ya maswala ya kiusalama. Once gari inapopata ajali, lile body linatakiwa kuwa na uwezo fulani wa kuabsorb energy by means of deformation (kubonyea) ili kuweza kupunguza ile energy kuact kwa watu waliokaa ndani. Natumaini nimeeleweka
Mkuu uza hio usije ukawa sio rizki maana unakalia ukuni deile😂😂😂Dah, sasa niambieni kama VW TOUREG yangu ni ya kike au ya kiume ili nijue. Isije ikawa ya kiume kumbe kila nikiikalia nakuwa nimekalia dudu, nimepakatwa ila mi sijui. Nikishuka nakuwa nimeloa najua jasho kumbe shahawa...!!! Kama ni ya kike poa tu, kukalia papuchi sio mbaya. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hii gari nime ielewa sanaaa.. mamaaeee hizi hela hizi hela wacha tuzisake