Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me kampuni ya gari ikishaitwa Toyota naona kama nyanya, bodi zake ni nyepesi sana.
Bei Kwa Bongo?Mkuu hivi prado 2018 umeiona kweli?... Acha Lc200 series...
Mbona bado la kike, wameondoa muonekano wa wamama wakaweka wa wadada..!Naweza kusema Toyota ameanza kurudi kwenye mstari wa kutengeneza vyombo vya uhakika baada ya kutoka kutufyatulia uchafu kadhaa kati ya miaka 2012-2017 hapo.
Wale designer wa gari ambazo hazitazamiki nadhani watakuwa wameshapangiwa kazi nyingine mpaka sasa kama sio kuwa fired kabisa. Kuna mabadiliko makubwa katika muonekano wa gari za Toyota za sasa.
Hatimae 2019 tu design mpya ya RAV 4 ambayo imekaa kiume binafsi nimeielewa sana na naweza kuhamia katika hio brand panapo majaliwa. RAV 4 nilikua sizikubali kabisa licha ya fuel economy ila shepu yake ya kike ilikuwa inanikera hata hazipimpiki yani.
Ichekini 2019 Rav 4 hapa.
Kwani hizo design unazohisi ni za kike zinabeba mimba? Mbona tunaendesha hatuoni papuchi mle.
Konzi tu gari linabonyea.....ndio maana zikibinuka tu zinaua.Me kampuni ya gari ikishaitwa Toyota naona kama nyanya, bodi zake ni nyepesi sana.
Association ya wamiliki Vits & Ist lazima wakuandikie waraka wa kukulaaniIzo gari za kike bana au unataka mademu tuwahonge V8? Mwanaume unashuka kwenye gari vitz/passo hata huvimbi
Acha ukabilaHuu ni ushamba wa kihaya kabisa
Tunaendesha Toyota kwasababu ya umaskini tu. Gari ni BMW, period.
HhaahhaNgoja waijambiejambie wajapani wakiichoka tutakomaa nayo beforward.
Nazipenda sana sana muonekano wa hizi gari one day nitanunua mambo yakikaa vizuri[emoji57] [emoji41] [emoji57] [emoji41]Wameiga muonekano wa gari za KIA!
![]()
Watu kama sie wakina mzee baba, bado tunaona ya kike tuu! Gari fupi zote na soft za wadada tu.Aaah bobu unazingua mbona mi naona iko sawa sana sahivi kuliko hapo awali.
Atakuwa kaelewa huyo, sema kapiga kimya. Halafu ndio tabia ya Toyota haters wengi utaskia body zake laini sasa unajiuliza mtu kama huyu si angenunua kifaru aendeshe maana ndio gari pekee lenye body gumu lisilopitisha bomu wala moto ndani.Nimebahatika kusoma maswala ya safety katika magari mara kadhaa. Ipo hivi, body la gari halitakiwi kuwa gumu sana (rigid) kama ambavo ww unafikiria kwa ajili ya maswala ya kiusalama. Once gari inapopata ajali, lile body linatakiwa kuwa na uwezo fulani wa kuabsorb energy by means of deformation (kubonyea) ili kuweza kupunguza ile energy kuact kwa watu waliokaa ndani. Natumaini nimeeleweka
Halafu mtoto tu sijui kama hata Passo anamiliki?Povuuu...Hio ID ishatosha kunieleza we ni mtu wa class gani hivyo usiendelee kupoteza muda wako bure.