pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
Ahahaaa. Halafu ndio unawaambia hide my id.Hivi account kama hizo sio kwamba zinatumiwa na makachero kupata info watakazo...
Unaweza ukawa unadhani unawasiliana na Kimambi kumbe unawasiliana na kitengo pendwa cha ukachero...
Usiangalie quantity ya comments..angalia quality...kama una akili thouNdani ya Dakika 23 ana comments 1300 aiseeeh huyu ni Balaa
Pumba kabisaMange alicheza mchezo wa kuiblock account yake ili apoteze kiki ya Wema kurudi CCM ili nililiona kitambo sana na amefanikiwa. wengi waliacha habar za Wema nakuanza kumuongelea Mange kwa vitu tofauti wengi walisema kwamba Mange kanunuliwa na CCm.
Na Jinsi alivo rudi kama ww zuzu uwezi kugundua. Alisema Tarehe 15 nitarudi hewani na kweli amerudi ahahaha Mange.
Wewe hayawani sina huo muda ,wewe mjinga unaevamia comments za wanaume malijali ndio unapaswa kuangalia hayo mambo..Usiangalie quantity ya comments..angalia quality...kama una akili thou
[emoji2] [emoji2] [emoji2]mwenye insta yake karudi kama isingekuwa kublock watu asingekamatika kwa follows huyu binti
Anakutukana wewe!??Sawa, aache matusi
Ni wachache sn wanaoelewa mambo ya huyu dada!Mange alicheza mchezo wa kuiblock account yake ili apoteze kiki ya Wema kurudi CCM ili nililiona kitambo sana na amefanikiwa. wengi waliacha habar za Wema nakuanza kumuongelea Mange kwa vitu tofauti wengi walisema kwamba Mange kanunuliwa na CCm.
Na Jinsi alivo rudi kama ww zuzu uwezi kugundua. Alisema Tarehe 15 nitarudi hewani na kweli amerudi ahahaha Mange.
You shallow minded..unaangalia vitu on the surface...unapaswa kuwa analytic (kaa kimya nakufundisha)..unapaswa kuangalia kama hao watu wamepost utumbo kama uliopost wewe au ni sensible commentsWewe hayawani sina huo muda ,wewe mjinga unaevamia comments za wanaume malijali ndio unapaswa kuangalia hayo mambo..
BTW I wrote as per what displayed to her account comments ...
Namuona lemutuz anaharisha huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uko sawa..unamjuwa vema.watz bhana, haya ndipo tulipofika.....
kubali au kataa she is Tanzanian hero right now... kwa nini ?
yeye amekua sauti ya wanyonge, yeye ndiye pekee ana ubavu wa kusimama na kuisema serikali tukufu kwa mabaya/mazuri inayofanya bila woga wowote ... pengine kuwa kwake nje ya nchi kumemsaidia sana....
huyu mtu anapenyezewa habari nyeti sana ndani ya serikali na watu(wa serikali wengine watu wa system) wasiowaaminifu au waliochoka kwa utawala dhalimu.....
huyu mtu ni miongoni mwa watu wanaofatiliwa sana mtandaoni kwa tz, kubali kataa, na inawezekana ni yeye anaefatiliwa zaidi, hapa pia haijalishi namba ya followers alionao, kumbuka kuna wale wanaokuja wanachungulia page yake na kuondoka kuangalia nini kilichojiri nchini....angekua anaweka namba ya insight tungeshangaa watu wanaotembelea page yake, hapa hata viongoz kibao wa serikali wanamfatilia kimya kimya na user name fake ili wasijulikane......
anajua kucheza na mind za watu,anauwezo wa kuitngeneza hoja ya uongo na kuitetea watu wakaamini////
cha muhimu ni kwamba sio kila anachosema ki kweli au uchukulie siriaz, japo vingi anavyosema ni kweli, pia mmbea flani pia mshari, omba asikuchukie... anavyovisema vina ukweli 70%
Kamshtaki [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Sawa, aache matusi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pumbafxxxxx[emoji41]Acha niweke bando za kutosha mapemaaaa maana usiku wa leo ni km nalala na dem ambaye nimemuhangaikia siku nyingi. Ni mwendo wa msuli au taulo tu.
Ulimteka weweUmenikumbusha Roma Mkatoliki!