Hatimae account ya instagram ya Mange Kimambi yarejea

Hatimae account ya instagram ya Mange Kimambi yarejea

Hivi account kama hizo sio kwamba zinatumiwa na makachero kupata info watakazo...

Unaweza ukawa unadhani unawasiliana na Kimambi kumbe unawasiliana na kitengo pendwa cha ukachero...
kunakuwa na dalili hata wewe watu8 akaunt yako ya jf ikianza na ambae sio wewe tutajua tu
 
kunakuwa na dalili hata wewe watu8 akaunt yako ya jf ikianza na ambae sio wewe tutajua tu
Jamaa wa kitengo wana mbinu nyingi sana...

Mtandao kama facebook umekuwa ukitumiwa sana na makachero, hivyo hata insta kwa namna nyingine itakuwa tu inatumika...

Ushawahi kujiuliza Mange anafaidika vipi kwa "kupepeta mdomo" insta kwa mambo ya kisiasa...
 
Mange alicheza mchezo wa kuiblock account yake ili apoteze kiki ya Wema kurudi CCM ili nililiona kitambo sana na amefanikiwa. wengi waliacha habar za Wema nakuanza kumuongelea Mange kwa vitu tofauti wengi walisema kwamba Mange kanunuliwa na CCm.


Na Jinsi alivo rudi kama ww zuzu uwezi kugundua. Alisema Tarehe 15 nitarudi hewani na kweli amerudi ahahaha Mange.
Kwel
 
Back
Top Bottom