Hatimae account ya instagram ya Mange Kimambi yarejea

Karudi kuwashika, vyupi vinaanza kuwabana huko!
Tunaomba neno tena toka kwa aijipii kuhusu kurudi kwa account hiyo, maana ilipopotea alitoa neno
 
You shallow minded..unaangalia vitu on the surface...unapaswa kuwa analytic (kaa kimya nakufundisha)..unapaswa kuangalia kama hao watu wamepost utumbo kama uliopost wewe au ni sensible comments
Hivi kama comments are nonsense huoni wamejifunza kwa wale wanaoshangilia akiongea magufuli au unaonaga akiiongea cha maana wakati watu wanashangilia
 
What if kama insta wenyewe walimwambia account yako itarudi kuanzia tr. 15?

Hujawahi kurenew line wakakwambia account yako ya pesa itakua activated baada ya SAA 72?
Mkuu utapata kazi kumuelekeza mtu ambaye hayuko tayari kuelewa.
 
Maskini LEMUTUZI waga anawish sana angekuwa na ushawishi na umaarufu alionao MANGE ila ndo hivo tena ye ataishia kumpost makondakta tu utazani yeye ndio mwenye account kila baada ya post 2 ya 3 ni makondakta
 
MANGE SIO EXPANSION JOINT LENU WEMA WE KAHABA ZEE ANATUPIGANIA CC TUNAOKOSA FREE SPEECH !NISEHEMU MBILI TU HAPA JAMII FORUM NA ACCOUNT YA MANGE INST.BAS KAMA VP NENDA TBC HUKO KWAKO
 
AGIZA SODA KWA MANMGI NALIPA
 
Hahaha anajiita mchepuko wa Sirro , kamnanga sirro kwamba hata atembee uchi makaburini hawamuwezi kumfungia akaunti yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…