Hatimae Dudubaya na Mr.Nice wamaliza beef

Njaa!! Inafanya ndugu/marafiki kugombana na njaa hiyo hiyo inafanya maadui kupatana!!
Hapo ni baada ya kutoka Kwenye show Namanga wilaya ya Longido
 
Usikute wamekutanishwa na kazi tu, lakini rohoni kila mtu bado anadharau kwa mwenzake.
 
nasikia ugomvi wao.walikuwa wanagombea mw***m
 
Ile Wanted ya Dudubaya aliyopewa Sinza asikanyage maisha imefutika au bado? Maana Ayubu Van Damme alimpa kwa kujifanya mbabe nchi ya watu hakufahamu kuwa Sinza ni nchi inayojitegemea... ndani ya nchi kama Zanzibar Ayubu Mkobo
 
Ile Wanted ya Dudubaya aliyopewa Sinza asikanyage maisha imefutika au bado? Maana Ayubu Van Damme alimpa kwa kujifanya mbabe nchi ya watu hakufahamu kuwa Sinza ni nchi inayojitegemea... ndani ya nchi kama Zanzibar Ayubu Mkobo

Hivi dame yupo uraiani siku hizi?
 
Kweli Jana yako ndio kesho yako ila kesho hako kamwe haiwezi kuwa Jana yako
 
Katika pita pita yangu nimekutana na picha hii ya hawa wakongwe wawili kuwa pamoja na kuonekana kwamba wamemaliza tofauti zao.

Ni jambo jema,ningependa kuwapa hongera kwa kuwa na uwezo wa kuweka tofauti pembeni na ku move on.

Sema kinachonisikitisha ni muonekano wa mr. Nice,jamaa kaisha vibaya..tumwombee jamani hali inaonekana sio nzuri.

 

Attachments

  • mr nice dudu baya.jpg
    46.8 KB · Views: 2,291
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…