NA yule ayubu alivyo mtata lazima Dudu asepe tu!Ile Wanted ya Dudubaya aliyopewa Sinza asikanyage maisha imefutika au bado? Maana Ayubu Van Damme alimpa kwa kujifanya mbabe nchi ya watu hakufahamu kuwa Sinza ni nchi inayojitegemea... ndani ya nchi kama Zanzibar Ayubu Mkobo
mr nice alikuwa na zaidi ya billion 1.5 cash kwenye account.
matumiz aliyofanya na wapambe wake siku nzima ata wakienda kunywa gari azizimwi na ac juu full time wawe au wasiwe kwenye gari.
alikula sana maisha na wapambe ofa kwa sana kupora mademu wa watu.
sasa hivi ata laki 3 hana kwa bank.Amechoka sana kiuchumi na afya
Sikuwahi kuelewa bifu la hawa jamaa lilisababishwa na nini hasa maana kama mziki waliokuwa wanafanya ni tofauti, nashangaa mtu limtu lilikuwa linaibuka jukwaani na kumtwanga mwenzake. Na vile vipigo vilikuwa kama kimavi kwa Mr. Nice coz ndo alipoanza kuanguka kimziki