Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
- Thread starter
-
- #21
ngoja nigangamale maduaran,shmo likitema2 lazma nimmendee namimi nimhamishie kwa kakobe!
sasa ivi ndio anawasikiliza wazazi? kwani alivyobadili dini wazazi hawakuwepo! shame on you!
Hao wa kiislamu wanabadilishwa wengi tuu kuwa wakristo labda kama hujawah kushuhudia
shida za kuhama dini kumfata mwanaume.......
anatafuta justification tu
:A S-confused1::frusty:
Anko kambadili Dini dada wa kiislam akabatizwa na kuolewa...haya mambo ya imani sio marahisi kiivyo...kila mtu na nafsi yakeTatizo watoto wa kike wengi wa kikristo wanaongozwa na njaa hawana msimamo na dini yao nimeshuhudia wanawake wengi wa kikristo wakihasi dini yao kwa ajili ya njaa zao..ila ni ngumu sana kumbadili mtoto wa kiIslam dini kama unampenda bora uslimu wewe ufwate ila wao kukufa wewe ni ni ngumu
sasa ivi ndio anawasikiliza wazazi? kwani alivyobadili dini wazazi hawakuwepo! shame on you!
Nina mshkaji wangu kaoa binti wa kiislamu na huyo binti kabadili dini na kawa mkristu tunasali nae kanisani.Sasa huyu utasema alikua na njaa au
Me too, kuna mtu ninamfahamu (she-'Islam') kaolewa na jamaa wa kikristu (mkatoliki)..huyo dada ameshika dini yaani u can't imagine almost muda wote anasali rozari.
Tatizo watoto wa kike wengi wa kikristo wanaongozwa na njaa hawana msimamo na dini yao nimeshuhudia wanawake wengi wa kikristo wakihasi dini yao kwa ajili ya njaa zao..ila ni ngumu sana kumbadili mtoto wa kiIslam dini kama unampenda bora uslimu wewe ufwate ila wao kukufa wewe ni ni ngumu
shida za kuhama dini kumfata mwanaume.......
anatafuta justification tu