Hatimae jackline wolper afunguka baada ya kubadili dini kwa mara ya pili na kuwa mkristo tena

Nina mshkaji wangu kaoa binti wa kiislamu na huyo binti kabadili dini na kawa mkristu tunasali nae kanisani.Sasa huyu utasema alikua na njaa au

Same to my mother kamfuata mshua
 
shida za kuhama dini kumfata mwanaume.......

anatafuta justification tu
ruthu: 1:16 Naye Ruthu akasema, Usinisihi nikuache, Nirejee nisifuatane nawe; Maana wewe uendako nitakwenda, Na wewe ukaapo nitakaa. Watu wako watakuwa watu wangu, Na Mungu wako atakuwa Mungu wangu;17 Pale utakapokufa nitakufa nami, Na papo hapo nitazikwa; Bwana anitende vivyo na kuzidi, Ila kufa tu kutatutenga wewe nami.

infact hayupo kiimani zaidi ni kuwa hakupata sapoti kwenye dini aliyoamia hivyo amerudi kwenye imani aliyokulia mwanzo
 
tatizo wa kiislamu akihama ndugu zake wote watamchukia sana!
Si mumpende ila muendelee kuongea nae kwa upendo hadi aone mwenyewe anastahili kurudi?

huyo naimani harudii tena upuuzi wake wa kubipu dini za watu.atakuwa amekuwa sasa
 
huyo ni wa No Money,No Love,hana jipya.

mwanamke yeyote anayejitambua lazima awe na mwanaume mwenye fyucha. sio tu anatoka na kijana wa bongofleva kavaa mlegezo mara kesho kamfumania. kimsingi jamaa alipoteza direction wakashindwana hivyo wakaachana. thats normal.

hana wakumpa spoti na kumkremisha kaswida tena, inabidi angalie ustaarabu wake. that too is normal.
 
Bahati mbaya tuu haiwezekani kubadili kabila, angeshsbadili kitaambo.

sure. kimsingi inaonyesha dhahir kuwa alibadili dini kwa lengo zaidi la kuolewa lakini baada ya ndoto za ndoa kufutika hakumpata mwenye imani ile tena, amekuwa mpweke baada ya hapo na kwa sasa hana cha kupoteza inabidi arudi kwenye imani yake ya awali.
 

.....amtomaind.....akuna.....aujaolewa... ata....
Duhhhh kumbe mastaa kuandika mbinde ehhh?
 
atahangaika sana mwaka huu, bado kwenda kuwa m-budha tu
 
mkishaharibikiwa ndo mnawasikiliza wazazi!!!
 
hakuna kitu ninaboa kama mtu asokua na H e.g. Imaya = Himaya, ujambo = Hujambo, Ela = Hela, Ujaolewa = Hujaolewa etc etc... au asoweza kutofautisha R na L, tena hii inaboa zaidi unakuta mtu ni wa pwani, kiswahili kilipoanzia lakini ni Lafiki = Rafiki, Rete = Lete, Habali = Habari, inaboa mpaka hata kusoma au kusikiliza inanitia uvivu. Mwingine anaongea vizuri kabisa, sasa kuandika anachanganya herufi.... Mwingine utakuta ni mtangazaji wa TV au Radio, hua nabadilisha station sitaki hata kumsikiliza....
 
Mmmh star wetu wa kibongo...! Vihiyo vihiyo....! Kiswahili tu kuandika taaabu! So bogus ......!
 
loh, dada ame "restore status," ready for the next move.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…