Wewe nadhani sio riziki....doesn't matter wapi ipigwe what we need ni music....
Nyani Ngabu ni Gerald Hando.
Watapigiaje nje wakati hicho kimgahawa kipo kwenye residential area?
Ule show ya jide ambayo itatawaliwa na anaconda style sasa kimeeleweka baada ya prof J na juma nature kuthibitisha kwamba watamuungamkono na kupiga nyimbo zao zote ambazo mashabiki wataomba wapigiwe. Vilevile tiketi zimeongezwa nyingine baada ya zile za kwanza kuisha. vilevile show itapigiwa pale parking baadala ya ndani ambapo pameonekana ni padogo kulingana na tiketi zilizo katwa. nakutakia mafanikio mema jide. mia
tuambieni ni wapi tuje tumuuenge mkono jide
naona jide na yeye ameajiri vibaraka wa kumpigia promo JF! Chezea chambi chambi wewe
Na wewe huwa unampigiaga Promo nani vile????naona jide na yeye ameajiri vibaraka wa kumpigia promo JF! Chezea chambi chambi wewe
Watapigiaje nje wakati hicho kimgahawa kipo kwenye residential area?
hahahahaha,I always believe JF is a stress free zone
Kumbeeee, asante sana kwa kunijuza...vipi mjeshi hajambo...Nyani Ngabu ni Gerald Hando.
naona jide na yeye ameajiri vibaraka wa kumpigia promo JF! Chezea chambi chambi wewe
Kumbeeee, asante sana kwa kunijuza...vipi mjeshi hajambo...
nishawai kukuliza wewe ni me au ke, make wivu wako ni wa ke kabisa
hapo kwenye nyekundu hebu funguka mama....Mjeshi hajambo, anautendea haki mwili wangu mtamu.
Anakula mpaka visivyoliwa.