Hatimae Jide kimeeleweka

Hatimae Jide kimeeleweka

Ule show ya jide ambayo itatawaliwa na anaconda style sasa kimeeleweka baada ya prof J na juma nature kuthibitisha kwamba watamuungamkono na kupiga nyimbo zao zote ambazo mashabiki wataomba wapigiwe. Vilevile tiketi zimeongezwa nyingine baada ya zile za kwanza kuisha. vilevile show itapigiwa pale parking baadala ya ndani ambapo pameonekana ni padogo kulingana na tiketi zilizo katwa. nakutakia mafanikio mema jide. mia

naona jide na yeye ameajiri vibaraka wa kumpigia promo JF! Chezea chambi chambi wewe
 
Tulioko mikoani tafadhali msaada wa kuzipata hizo tiketi!
 
naona jide na yeye ameajiri vibaraka wa kumpigia promo JF! Chezea chambi chambi wewe
Na wewe huwa unampigiaga Promo nani vile????
shakebutt.gif
 
Si alisema show hapigi kwasababu ya marehemu, ila nadhani wikiendi hiyo hiyo alikuwa anapiga harusini au?

Alikosa kuuza alipoongeza hao wengine ndio tiketi zinbauza, sasa ni kwamba sio yeye anaeuza ni hao wanaume etc ndio wanauza kwahiyo show si ya yeye kama ilivyokuwa mwanzo ni ya wote sababu wanakuja kupiga nyimba zao zote wanazotaka.

Poleni team jide,
 
Watapigiaje nje wakati hicho kimgahawa kipo kwenye residential area?

Hivi Nyani Ngabu wewe na Jay Dee mlikosana nini? Maana kila thread inayomuhusu JIDE huwa unaiponda, funguka ndugu.
 
go go go go jide big up kiroboto kasim na joseph haule.
 
Back
Top Bottom