Hatimae Jombi kamaliza salama shahada uhandisi Mitambo (Mechanical engineering)

Jombi tunaemjua alikuwa ni jambazi mashuhuri mwizi wa magari Mbeya miaka ya 1989/90....
 
Kiingereza unajua?
 
Meza mate kwanza mkuu usije ukapaliwa ukafa
 
Mbona msaada wa "WATOTO WA CHUO WANACHOPENDA" hujawaambia.
Msaada wako haujakamilika ndugu mjumbe.
 
Jombi alikuwa jambazi maafuru mbeya miaka ya 90,je ndio wewe?
 
Yani hako ka page kamoja tu umechoka sasa utaweza kurekebisha mitambo kweli wewe au hapo jalalani siku hizi mnasomea uvivu.
 
Umechoka kuandika, umechoka kutusimulia, au umechoka kutushukuru?
Engineer gani wewe unateanza project ambayo huujui mwisho wake?

Mkuu bujibuji Shikamoo yako brother .
Kuwashukuru nilishamaliza pale juu .
Nilichoka kuandika mkuu ..Natumia katecno sasa kana display ndogo kwa hyo Uzi kama huo unachukua mda kuuandaa.
 

Mkuu ndo ambacho niliplan kukifanya .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…