Hatimae Jombi kamaliza salama shahada uhandisi Mitambo (Mechanical engineering)

[emoji23][emoji23][emoji23]mbona wa2 wa jf wana jazba kias hik.....yaan ukileta habar nzur wanakasirika ukija kuwaambia umepigwa kibuti utatukanwa mpk ukome

Shida ni nn wanajf au ndo ugreat thinker???

Mkuu sio JF tuu ni social Media zote .
Watu wanapiga spana balaaa ..hahaha.
Changamoto kubwa watu wengi wanasumbuliwa na SONONA .Sasa kwa kuwa humu hatuonani basi makasiriko yako yote wanayamalizia kwako.
 
umeacha punyeto?
 
Uzi upon sharp kwa injinia was miaka 4.Ameandika kitu cha kubaki JF kwa muda mrefu.
Hujasema professional competence yako in maeneo gani, Project ganu ulizifanya na mini matarji yako(vision).
Usipiangalia utaajiliwa na muhindi mshahara 5k, mashine zikikukata mikono unapewa kiinua mgongo cha m1,Ukafie mbele.
 
Na wewe ndo umeandika nini hapa bwa shekhe .Kajifunze vizuri kuandika kwanza ndo uje kunishauri.
 
Safi karibu Diesel Locomotives Workshop Complex - Morogoro kuna Rehabilitation ya Tyssen Henschel Locomotives kutoka kutumia Hydraulic Transmittion na kutumia Electric Transmittion.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…